Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum (73) ndie Mtawala wa Dubai na pia Ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Ndie aliyefanya mageuzi makubwa kwenye Emirati ya Dubai kutoka jangwa mpaka Sasa mji maarufu na kuvutia watalii toka pande zote za dunia.
Anatajwa Kama tajiri duniani aliyefanikiwa katika biashara ya "real estate"
Pia, Ni mwandishi wa vitabu kadhaa ikiwemo Flashes of thoughts. Tofauti na watawala wengi wa Afrika ambao hata kuandika Pamphlet tu Ni issue
NB: Picha Kwa hisani ya Square yards.
Ndie aliyefanya mageuzi makubwa kwenye Emirati ya Dubai kutoka jangwa mpaka Sasa mji maarufu na kuvutia watalii toka pande zote za dunia.
Anatajwa Kama tajiri duniani aliyefanikiwa katika biashara ya "real estate"
Pia, Ni mwandishi wa vitabu kadhaa ikiwemo Flashes of thoughts. Tofauti na watawala wengi wa Afrika ambao hata kuandika Pamphlet tu Ni issue
NB: Picha Kwa hisani ya Square yards.