Mfahamu Mtanzania Andrew Chenge ambaye huwa anahusishwa kwenye kashfa nyingi

783cea81d15e112797eb37ccf66e4100.jpg
Uyu ndie Mtemi Chenge
 
Umesahau kuwa ni yule aliyeweza kuingia bungeni usiku na kunyuizia unga unga mweupe kwenye viti vyote vya wale waliokuwa wanamjadili kwenye kashfa ya rada. Aliyeweza kuingia bungeni chini ya cctv camera zote wala hakuna moja iliyo muona. Hata leo. atakaye jaribu tu kumjadili, ataondoka yeye kimwili na kiroho amwache akila gambosh
 
Kwenye deal ndefundefu za mpunga nchini Tanzania, lazima mzee wa visijenti awepo. Yeye ni kama Amitabachan kwenye movie. Bila yeye wala movie hainogi.

Najaribu kuimagine hiyo kamati itakayomuita ati inamuhoji. Anaweza akawapa jibu fupi tu. "Nilikuwa natekeleza maagizo ya baraza la Mawaziri ambalo hata JPM alikuwamo"
 
Andrew Change alizaliwa Tanganyika Tarehe/Mwezi/Mwaka 24/12/1947 . Kwa sasa ana miaka 69. Andrew Chenge ni Mbunge wa Bariadi taangu 2005.

KAZI NA TEUZI MBALIMBALI

1993-1995 Rais Ali Hasan mwinyi alimteua kua mwanasheria mkuu wa serikali Alichaguliwa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali (AG)

1995-2005 Rais Benjamin Mkapa alimteua Andrew Chenge kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali wadhifa aliodumu nao kwa miaka mingine 10.


2009- Chenge akiendesha gari Jijini Dar es Salaam alimgonga mkazi wa Dar es Salaam na Kumsababishia Kifo ambapo alipigwa fine ya Sh. 700,000/= kama adhabu.

Mwaka 2015 Wananchi wa Bariadi walimchagua tena Chenge.

ELIMU YAKE:

LLB (UDSM)
LLM (Harvard)​
Alafu mko nae humo humo CCM!! kweli ccm ni kichaka cha wanyang'anyi!!
 
Ni aidha ni mzee wa mitikasi ndio maana kwenye dili zote yupo au kuna watu ambao wapo pembeni na wanamwaminia huyu jamaa ana maujanja flani so wanachofanya ni kumpa namba tu ili mambo yao yaende.
 
jamaa ni noma siku zote hushinda vita ni lijiazi hili.. vita hii atatusua tuu mimi humfananisha na jakobo Zuma wa sauzi
 
Back
Top Bottom