Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,976
- 32,380
Wanaukumbi.
Msigwa alipigwa mkwara na Lema “Futa” lilivyo anamuogopa Lema kuhofia kufukuzwa Chadema naye akafute post yake Lema, kila siku unapiga kelele kwenye kijiwe chenu cha Space unataka watu wawe huru kisha wewe huyo huyo unataka watu wafuate fikra zako.
Bw. Andrew John Chenge aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali na mbunge wa Bariadi mkoani Simiyu, Pia Amewahi kuwa mwenyekiti wa Bunge la JMT. Chenge ni msomi na nguli wa Sheria. Anafaa kuwa Spika msomi mwenye uelewa wa Sheria za nchi.
Msigwa alipigwa mkwara na Lema “Futa” lilivyo anamuogopa Lema kuhofia kufukuzwa Chadema naye akafute post yake Lema, kila siku unapiga kelele kwenye kijiwe chenu cha Space unataka watu wawe huru kisha wewe huyo huyo unataka watu wafuate fikra zako.
Bw. Andrew John Chenge aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali na mbunge wa Bariadi mkoani Simiyu, Pia Amewahi kuwa mwenyekiti wa Bunge la JMT. Chenge ni msomi na nguli wa Sheria. Anafaa kuwa Spika msomi mwenye uelewa wa Sheria za nchi.