sandu John
Senior Member
- Jun 24, 2016
- 180
- 104
Unga Unga ule huwa hakuna cha bunduki wala jeshi,Umesahau kuwa ni yule aliyeweza kuingia bungeni usiku na kunyuizia unga unga mweupe kwenye viti vyote vya wale waliokuwa wanamjadili kwenye kashfa ya rada. Aliyeweza kuingia bungeni chini ya cctv camera zote wala hakuna moja iliyo muona. Hata leo. atakaye jaribu tu kumjadili, ataondoka yeye kimwili na kiroho amwache akila gambosh