Hapa nahitaji ufafanuzi wa lugha. Ukichemsha maji maana yake nyuzi joto linafika mia maji yanachemka. Lakini umeongeza "Mpaka yawe ya moto Vizuri" kwani maji yaliyochemka huwa siyo ya moto? au kuwa ya moto vizuri ni zaidi ya kuchemka? au kuchemsha muda mrefu?KUNGUNI
Mkuu hao dawa yao n ndogo tu
Andaa mafuta ya taa + sabuni ya unga+ maji
Chemsha maji mpaka yawe ya Moto vzr weka mafuta ya taa na hyo sabuni ya unga .
Mwaga kila Kona kunguni wanapokaakiukwel utawaokota Kama njugu
#97blessed
Sahihi Kabisa.Tumia mafuta ya taa mkuu yatakusaidia sana nyunyizia kwenye chaga za kitanda, godoro halafu kagua kwenye pembe za chandarua kama wapo mwagia mafuta ya taa.
Hapa nahitaji ufafanuzi wa lugha. Ukichemsha maji maana yake nyuzi joto linafika mia maji yanachemka. Lakini umeongeza "Mpaka yawe ya moto Vizuri" kwani maji yaliyochemka huwa siyo ya moto? au kuwa ya moto vizuri ni zaidi ya kuchemka? au kuchemsha muda mrefu?
Maji yakiisha chemka huna haja kuendelea kuyachemsha.
Hahaha ukiwa mganga inabidi wagonjwa wakuelewe kwanza kabla hawajaelewa maelezo ya dawa.
Mkuu haujashauri kitu hapo kuhusu kuwakimbia.Mkuu hao jamaa wakiingia ndani hawana dawa ya kuwaua, ila nakushauri tu kwamba wee chukua nguo zako za kuvaa zinyooshe then hamia kwa shemeji yetu, kwa muda usiopungua miezi mitatu, wote watakufa njaa, mi niliwahi kuvamiwa nikatumia njia hiyo mpaka Leo Niko salama kabisa.
Hall 2 nw limefungwa lisije likaua watu kwa uchakavu.Nkiskia kunguni nakumbuka 'Hall 2' UDSM
the Legend☆
Mie nilitumia hiyo lakin haikufua dafu.
Mpaka nilipohama nyumba ya parokiani nikaenda kuishi Itaga Seminary.
NB: enzi hizo nilikua bado sijabadili dini
Waafrika wakihadithiana uchafu wao hivi hili bara mtaelimika lini?
Nimekaa Italy 6yrs sijasikia huu upupu dah poor country with poor dirty stupid people!!!
Maji ya moto....chemsha pipa mbili zitokote kiwango cha conc sulphuric acid
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia mafuta ya taa mkuu yatakusaidia sana nyunyizia kwenye chaga za kitanda, godoro halafu kagua kwenye pembe za chandarua kama wapo mwagia mafuta ya taa.
Huna unalojua bwege wewe, nani kakwambia kunguni wanatokana na uchafu! wale hata uwe msafi vp? akitimba tu ndani ya wiki wanakuwa wa kutosha kama jeshi la vietinam.
kutokuwepo kwa kunguni italy inaweza kuwa sababu ya hali ya hewa na sio usafi.
italy hawawezi ruhusu watu wenye umeme mdg kichwani kama ww?
Italy tu unasumbua hivi ungekaa sweeden au finland ingekuaje?,maana uchumi wa italy kwa europa sio mzuri sanaMwezi wa tatu napaa tena Italy sidhani Kama hata ushawahi tumia usafiri wa ndege au huwa mnatuona tu angani
Tabia zenu za uchafu tunazijua
Bado hujaua wakiamka mbona utakimbia kitandaMimi nachofanyaga nachomeka pasi ya Umeme ikipata moto nanyanyua godoro ...lile rundo jeusi napitisha palepale ....riadha hakuna wote wanakufa then napitisha pasi sehem zenye mayai Yale meupe yanakufa pia...mazalia yao hayataendelea...napitisha pande zote za godoro hasa zile nyeusi....hawaishi lakini wanapungua sabab hawa wadudu wakishaingia kwako wanawekeza kila kona ya chumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Unawafahamu watoto wa mende jinsi walivyoHivi hao kunguni wanafananaje? Natamani sana kung'atwa nao
Tumia mafuta ya taa mkuu yatakusaidia sana nyunyizia kwenye chaga za kitanda, godoro halafu kagua kwenye pembe za chandarua kama wapo mwagia mafuta ya taa.
Vipi ukichanganya bila kuchemsha hayo maji haitasaidia?KUNGUNI
Mkuu hao dawa yao n ndogo tu
Andaa mafuta ya taa + sabuni ya unga+ maji
Chemsha maji mpaka yawe ya Moto vzr weka mafuta ya taa na hyo sabuni ya unga .
Mwaga kila Kona kunguni wanapokaakiukwel utawaokota Kama njugu
#97blessed
Utakuwa sio nzima wewe hizo nchi ulizozitaja haziifikii Italy kiuchumi sema kinachowasaidia ni kwamba uchumi wao uko evenly distributed unadhani kwanini nchi ulizozitaja hazipo G7/8 wakati Italy IPO?Italy tu unasumbua hivi ungekaa sweeden au finland ingekuaje?,maana uchumi wa italy kwa europa sio mzuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo brashi lazima iwe ni ya inchi 3? Ikiwa ni ya inchi 2 au 4 haitafaa?Tumia brashi ya rangi ya nchi 3 kupaka mafuta ya taa kwenye kingo zote za godoro pia paka katika maungio ya chaga na kitanda. Hakikisha godoro lina cover ambayo haina matumdu ili wasijichimbie ndani ya sponji.
Mafuta ya taa yataua kunguni wazima na mayai pia hivyo life cycle utakuwa umeithibiti.
Nenda soko la Kariakoo maduka ya zana za kilimo ulizia dawa inaitwa LAVA.Hi ni kiboko changanya na maji puliza ndani ya nyumba,vitanda na chaga zake.Utateta mrejesho nina hakika.Nenda kariakoo soko kuu..upewe dawa ya kupiliza..itabaki historia
Pale kuna dawa ya wadudu..na utapata wstalaam..nakuhakikishia ndani ya week moja ....utalala kwa amani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulifanyaje mkuuWe jamaa Sina utani mi nilsumbuka balaa miaka ya mwanzoni mwa 2000 mkoa FULANI nikawa napiga SUMU ya kunguni INAITWA daizon lakini hawaishi,ila dawa inaleta joto la hatari .NIKATUMIA MAJI YA MOTO HAKUNA MAFANIKIO.LAKINI NIKIPOTUMIA MAJI YA BARAFU HAWAKUISHI HADI NA MAYAI YAO MKUU SI UTANI DAWA YA KUNGUNI NI MAJI YA BARAFU