kamatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 854
- 583
Hamna kitu km hicho siku 90 bila msosi wee thubutuYeye mwenyewe si alikua anaumwa umwa sana ndo akafunga siku 90 (miezi 3), hali chakula chochote zaidi ya kunywa maji tu... Akatoka hapo mzima wa afya. Kanifanya nipendelee water fasting ku-detox mwili wangu!