NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
mkuu hushindi kama unywaji wake utazingatia unywaji boraIpo kazi! Yaani unywe Lita 5 za Maji kwa siku si utashinda chooni!
mkuu hushindi kama unywaji wake utazingatia unywaji boraIpo kazi! Yaani unywe Lita 5 za Maji kwa siku si utashinda chooni!
Haifiki lita 5; ni kama chupa 2 na nusu za maji ya kilimanjaro makubwa. Kuanzia asubuhi unapoamka mpaka unaenda kulala usiku sidhani km mtu atashindwa kunywa chupa 2 na nusu za maji (kilimajaro nimetumia km mfano tu kufafanua ujazo)GALONI MOJA YA MAJI SI LITA TANO EEH?
Mkuu hakuna kuzoea kwenda chooni mara kwa mara itakuwa tabia yako ya kudumu lakini dawa ipo ni kufanya mazoezi au kazi yenye kukutoa jasho jingi.Utashinda chooni sikuya kwanza na ya pili... Ukiendelea mwili unazoea
Mkuu huyo mbuzi na product zake ndio utata zaidi bora ng'ombe na product zake. Mbuzi anatengeneza tindikali nyingi kutokana na ulaji wake na mfumo wake. Mbuzi mzuri ni yule anaekula magadi, wapo baadi ya maeneo mkoani Kilimanjaro.Mimi ndio maana mimeamua niache kula vyakula vyote nakunywa maji tu na maziwa ya mbuzi. Chakula ni Sumu
Nipo boss, kila sikuClueless14 you are missed...
Usiache kula utaweza kupatwa na vidonda vya tumbo. Kula matunda na mboga za majani kwa wingi kunywa maji ya miwa maji ya madafu maji ya tikiti maji usile nyama ya aina yoyote ile kasoro nyama ya kuku na samaki.Mimi nimeacha kula kabisa nakunywa maji ya mvua tu maana vyakula vina maradhi.
kampuni za Madawa a Kimerekani wakishirikiana na kikosi cha ujasusi wa cha kimarekani ndio waliofanya njama hizo za kumuuwa RIP Sebi alikuwa anawaamsha watu watumie vyakula na matunda kujitibia badala ya kutumia vidonge vya sumu.Naamfahamu huyo mtu na hata jinsi walivyomuua wamerekani
Lkn minimum unwz kunywa lita3,yaani isipungue lita 3.GALONI MOJA YA MAJI SI LITA TANO EEH?