Mfahamu kiundani mmiliki wa Tanzania

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,184
40,877
Huyo hapo chini, hii ni kwa mujibu wa Google, ambapo niliwauliza , ‘ Who is the owner of Tanzania?’

D932683A-ADA8-4A73-9E18-BA93A8969AD5.png
 
Ni nini hii mkuu mwaga nondo
Download openchat gpt pale play store mkuu,,Kisha Anza kuitumia ila ipo ya free na ipo inayolipiwa Kwa mwezi Hadi mwaka mmoja.
ChatGPT ni artificial intelligence chatbot ambalo liko na speed na umakini wa hali ya juu wa kutafuta habari na kufanya uchanganuzi wa chochote ambacho unaliuliza Kwa haraka sana na uhakika zaidi.
Watu wengi wanalitumia sasa hivi Kwa kufanya research mbalimbali,kufanya analysis mbalimbali,kuandika proposals n.k
Ni trend mpya kwenye technology lifatilie utajua maajabu yake.
 
Unafahamu kitu kinaitwa SEO na Tagline?, jifunze digital marketing utaelewa vizuri. Na mbona hapo chini wamekuambia ni mmiliki wa MeTL Group na sio Tanzania
 
Back
Top Bottom