FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,184
- 40,877
Huyo hapo chini, hii ni kwa mujibu wa Google, ambapo niliwauliza , ‘ Who is the owner of Tanzania?’
Hapo nimekupata vizuri sana mkuu.umegoogle nonsense wao wamekuletea sense,
Nipe mfano wa nchi nyingine yeyote ambayo ukisearch wanakupa mmilikigoogle uki google kitu chochote watakuletea hatakama hicho kitu hakipo,
watajitahidi kukuletea maelezo yanayotaka kufanana na ulichogoogle,
ndio walichofanya hapo kwako,umegoogle nonsense wao wamekuletea sense, au hujasoma maelezo waliokuletea??
Nipe mfano wa nchi nyingine yeyote ambayo ukisearch wanakupa mmiliki
search who is the owner of Nigeria, watakuletea Dangote halafu maelezo sio sawa na ulichokiulizaNipe mfano wa nchi nyingine yeyote ambayo ukisearch wanakupa mmiliki
inashangaza bado kuna watu wanatumia GoogleTumia chat GPT achana na google mkuu
google uki google kitu chochote watakuletea hatakama hicho kitu hakipo,
watajitahidi kukuletea maelezo yanayotaka kufanana na ulichogoogle,
ndio walichofanya hapo kwako,umegoogle nonsense wao wamekuletea sense, au hujasoma maelezo waliokuletea??
Ni nini hii mkuu mwaga nondoTumia chat GPT
Download openchat gpt pale play store mkuu,,Kisha Anza kuitumia ila ipo ya free na ipo inayolipiwa Kwa mwezi Hadi mwaka mmoja.Ni nini hii mkuu mwaga nondo
Hii Iko vizuri sana, inapatikana Hadi play store?Check jibu Hilo toka chat GPT View attachment 2537707
Ndio ipo play storeHii Iko vizuri sana, inapatikana Hadi play store?