Quimica
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,029
- 1,254
Habari za Usiku wana Jamii Forums !!Hope wote ni wazima wa Afya. Ushawahi kuskia chuo kinachoitwa MIT (Massachusetts institute of Technology)?
Bas nikujuze kwamba MIT Ni miongoni kati ya Vyuo Bora kabisa duniani ,kinashika nafasi ya kwanza au ya pili(World Ranking ya mwaka 2019 -2021)kati ya vyuo vyote duniani ambavyo vipo zaid ya elfu thelathini.
Zaid ya asilimia 80 yanafunzi wanaoenda kusoma MIT wana IQ (Intelligent Quotient ) Score zaid ya 140 yaan Magenius wakutupwa , ambapo MIT kinadeal sanasana na Enginnering.
Genius namaanisha wenye vipawa Sio wale wanaokariri hapana bali wale waliozaliwa na kipawa cha kudevelop innovative ideas,
Na huwa Geniuses wengi Hawajisomei Kabisa yaaan anajua Tu From Nowhere.
Sasa Kuna Kijana mmoja Anaitwa Kelvin Boe AKA" DJ focus "ambaye ni Raia wa Sierra Leon (magharibi mwa africa )!aliyetoka kwenye familia ya kimaskini sana ambaye Alitafutwa na MIT then akachukuliwa akiwa na miaka 13 Due to his supervaliance Intellects(kutokana na uwezo wake waajabu).
Alijifunza mwenyewe basics za umeme akiwa na umri wa miaka 12 tu akatengeneza radio station ,generator, batteries, FM transmitter, sound amplifier, three-channel mixer na mic receiver kutoka kwenye taka taka na ujuzi wake binafsi (alivitengeneza kwa namna yake ya kipekee ambayo haijawahi kuonekana )MIT wakamtafuta akaenda MIT.
"His accomplishments and amazing experience were documented and went viral. Kelvin's journey inspired millions around the world and was, by all accounts, also watched by the then President of the United States, Barrack Obama.
Kelvin, with his team, managed to win the Global Minimum's Innovate Salone Competition in 2012. This was the inaugural school innovation challenge in Sierra Leone. His success saw him selected to travel to the United States in 2012. Whilst there he was invited to speak at the "Meet the Young Makers" panel for the World Maker Faire in 2012 in New York.
He also became the youngest ever "visiting practitioner" for the MIT International Development Initiative. Whilst at MIT Kelvin presented his inventions to students in two D-Lab classes. He also engaged with community members at MIT and participated in hands-on research at the MIT Media Lab. Doe also lectured at some undergraduate engineering classes at Harvard College"
Nanukuuu Mstari wa mwisho Ukieleza kwamba kutokana na Uwezo wake mkubwa akawa anaenda kufundisha wanafunzi wa chuo namba moja Duniani Yaan Havard.
WHERE IS HE NOW(YUPO WAPI SAIVI? )
Kwa sasa mtu kubwa duniani (alishaandikwa mpaka kwenye Jarida la Forbes ,anakampuni yake na anaishi Ontario ,Canada .na amezindua Taa Zake zinazoitwa Kdoe light ambazo zimetengenezwa na omniovoltaic cells ambazo hizo Kdoe Light Zinauwezo wa kuzalisha Solar light(kama touch) pamoja Na Kucharge simu with 165-lumen output and 30 hours of runtime at 25 lumens.
Maestro de Quimica !!OP
View attachment 1941193
Bas nikujuze kwamba MIT Ni miongoni kati ya Vyuo Bora kabisa duniani ,kinashika nafasi ya kwanza au ya pili(World Ranking ya mwaka 2019 -2021)kati ya vyuo vyote duniani ambavyo vipo zaid ya elfu thelathini.
Zaid ya asilimia 80 yanafunzi wanaoenda kusoma MIT wana IQ (Intelligent Quotient ) Score zaid ya 140 yaan Magenius wakutupwa , ambapo MIT kinadeal sanasana na Enginnering.
Genius namaanisha wenye vipawa Sio wale wanaokariri hapana bali wale waliozaliwa na kipawa cha kudevelop innovative ideas,
Na huwa Geniuses wengi Hawajisomei Kabisa yaaan anajua Tu From Nowhere.
Sasa Kuna Kijana mmoja Anaitwa Kelvin Boe AKA" DJ focus "ambaye ni Raia wa Sierra Leon (magharibi mwa africa )!aliyetoka kwenye familia ya kimaskini sana ambaye Alitafutwa na MIT then akachukuliwa akiwa na miaka 13 Due to his supervaliance Intellects(kutokana na uwezo wake waajabu).
Alijifunza mwenyewe basics za umeme akiwa na umri wa miaka 12 tu akatengeneza radio station ,generator, batteries, FM transmitter, sound amplifier, three-channel mixer na mic receiver kutoka kwenye taka taka na ujuzi wake binafsi (alivitengeneza kwa namna yake ya kipekee ambayo haijawahi kuonekana )MIT wakamtafuta akaenda MIT.
"His accomplishments and amazing experience were documented and went viral. Kelvin's journey inspired millions around the world and was, by all accounts, also watched by the then President of the United States, Barrack Obama.
Kelvin, with his team, managed to win the Global Minimum's Innovate Salone Competition in 2012. This was the inaugural school innovation challenge in Sierra Leone. His success saw him selected to travel to the United States in 2012. Whilst there he was invited to speak at the "Meet the Young Makers" panel for the World Maker Faire in 2012 in New York.
He also became the youngest ever "visiting practitioner" for the MIT International Development Initiative. Whilst at MIT Kelvin presented his inventions to students in two D-Lab classes. He also engaged with community members at MIT and participated in hands-on research at the MIT Media Lab. Doe also lectured at some undergraduate engineering classes at Harvard College"
Nanukuuu Mstari wa mwisho Ukieleza kwamba kutokana na Uwezo wake mkubwa akawa anaenda kufundisha wanafunzi wa chuo namba moja Duniani Yaan Havard.
WHERE IS HE NOW(YUPO WAPI SAIVI? )
Kwa sasa mtu kubwa duniani (alishaandikwa mpaka kwenye Jarida la Forbes ,anakampuni yake na anaishi Ontario ,Canada .na amezindua Taa Zake zinazoitwa Kdoe light ambazo zimetengenezwa na omniovoltaic cells ambazo hizo Kdoe Light Zinauwezo wa kuzalisha Solar light(kama touch) pamoja Na Kucharge simu with 165-lumen output and 30 hours of runtime at 25 lumens.
Maestro de Quimica !!OP
View attachment 1941193