Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Mbona kitambo sana! Kwa sasa mashabiki wake tunamtambua kama DJ Civilian Coin! Na siyo DJ Don Nalimison tena!!"Dj maalufu" umebadili ID??
Ma'am.Ndio yupo Kahama?
Nipo hai, wanasubiri nife lakini ngoma imebuma."Dj maalufu" umebadili ID??
HovyooNilijua uzi wa maana kumbe uharo mtupu
Umeona eeeDJ wa kimataifa, umetisha sana🔥🔥🔥🔥
YapNoma sana!
Tanzania Ni Nchi ya watu wasio na vipaji na uwezo pia. Ndio maana wanabana Sana.Safi sana
Iko siku watakubalii tu
Ila sahv kimoyomoyo wanakubali
Ova
Watakuja kuachia tu mzeeTanzania Ni Nchi ya watu wasio na vipaji na uwezo pia. Ndio maana wanabana Sana.