OBD_Mwenyewe
Member
- Jan 8, 2018
- 14
- 9
Habari za muda huu wana Jf,
Mimi ni.mwanafunzi, lakini pia MUNGU amenipa neema ya kuandika vitabu. Ila natafuta mfadhili wa kunisaidia katika eneo la fedha kwa sababu nimekwama. Kama kuna mtu yuko tayari anisaidie no 0679531449. Naomba kama uko tayari nitumie sms ikiwa imeanza na neno "KITABU" asante.
Naishi mkoa wa ARUSHA. Kitabu nimemaliza eneo la Typing, typ-setting na design cover. Pia kama atanisaidia ili nimrudishie fedha zake nitashukuru-kitabu kinahusu mambo ya rohoni, niko tayari kwa kile ambacho anasema.
Mimi ni.mwanafunzi, lakini pia MUNGU amenipa neema ya kuandika vitabu. Ila natafuta mfadhili wa kunisaidia katika eneo la fedha kwa sababu nimekwama. Kama kuna mtu yuko tayari anisaidie no 0679531449. Naomba kama uko tayari nitumie sms ikiwa imeanza na neno "KITABU" asante.
Naishi mkoa wa ARUSHA. Kitabu nimemaliza eneo la Typing, typ-setting na design cover. Pia kama atanisaidia ili nimrudishie fedha zake nitashukuru-kitabu kinahusu mambo ya rohoni, niko tayari kwa kile ambacho anasema.