minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Watashindwa na nani? Kwani CCM hawaihujumu chadema? Hutaki walalamike ili iweje? Yaani watendewe ubaya waache kulalamika?CHADEMA haina mikakati ya kampeni, kila siku wanalalamika. Watashindwa vibaya.