Ukishasikia Mtanzania ana majina yote mawili ya Kizungu yaani la kupewa na la Ukoo yote ya Kizungu ujue huyo mtu ni fraud, eti Mtanzania anaitwa Boniface Jakob WTF? Hana ukoo? Ukoo wake unaitwa Jakob? Babu yake hana jina? Ina maana kabla ya kuja Muzungu ukoo wake haukuwepo?