Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Swali, mkurugenzi alitokea wapi weekend hadi akaandika barua akasaini?Kiukweli inaonekana huu mpango ulisukwa naye kahusishwa.Vinginevyo Ni kukosa umakini Wa hali ya juu huyu mkurugenzi, huwezi Fanya maamuzi kama hayo bila kujiridhisha kamwe, je mkurugenzi kwa hill hawezi akaisababisha serikali kupoteza fedha au rasilimali zake kizembe? Je haiwezi tokea Siku akasaini Hundi ya mamilion kutoka kwenye akaunti za halmashauri bila kujiridhisha? Kwa maoni yangu serikali inapaswa kumchukulia hatua Mara moja.Pia takukuru ilipaswa kuingia kazini.pia waandishi Wa habari wanapaswa kumuuliza kwa kina juu ya hili.