kila jambo ni lamsingi na lazima haki itendeke kwa kila mmoja,je mama wa kijana aliye fungwa kosa same na la RC wa dar akisikia kauli yako takufikiriajemeya wa Ubungo, Huku Goba hatuna barabara wala maji. Haya ndo mambo ya Msingi. Hicho cheti hata kama kipo au hakipo hakiwezi kuleta maji na barabara Goba. Tafadhali fanyia kazi, achana na mambo ya Makoonda.
Unakaa Goba gani ww isiyokua na Barabara, au unataka Ujengewe Barabara Mpaka Mlangoni, Kuhusu Maji Dawasa wameshatoa mwongozo nenda serikali za mtaa wako jaza fomu kisha peleka Dawasa.meya wa Ubungo, Huku Goba hatuna barabara wala maji. Haya ndo mambo ya Msingi. Hicho cheti hata kama kipo au hakipo hakiwezi kuleta maji na barabara Goba. Tafadhali fanyia kazi, achana na mambo ya Makoonda.
Amepokea ushauri wa kisheria labda...si unajua bunge likianza watu wakitaka mjadala wanaweza kuambiwa hamna mjadala kesi ipo mahakamani.."nimewaza tu mwanawani"HUYU MEYA NAE BURE KABISA ! TULIDHANI ANASHTAKI MAHAKAMANI ! KAOGOPA NINI KWENDA MAHAKAMANI ?
Hiyo ni kazi ya Tanroad na Dawascomeya wa Ubungo, Huku Goba hatuna barabara wala maji. Haya ndo mambo ya Msingi. Hicho cheti hata kama kipo au hakipo hakiwezi kuleta maji na barabara Goba. Tafadhali fanyia kazi, achana na mambo ya Makoonda.
Hahahahha atakuwa na undugu hadi huko kwa wachawi..utaenda wapi tenaTutashtaki kila mahali,mpaka kwa wachawi...usiposhughulikiwa na mmeo utashughulikiwa na Wacahawi.
Hamna namna.
unakaa Goba gani isiyo na barabara wala maji? kama barabara hamna umefikaje huko? na yale magari yaliopewa ruti za MBEZI - KAWE via GOBA, MBEZI - GOBA MPAKANI, MBEZI - TANGI BOVU via GOBA, yanapita barabara za wapi?meya wa Ubungo, Huku Goba hatuna barabara wala maji. Haya ndo mambo ya Msingi. Hicho cheti hata kama kipo au hakipo hakiwezi kuleta maji na barabara Goba. Tafadhali fanyia kazi, achana na mambo ya Makoonda.
Aisee tunaenda hata Nigeria,Hahahahha atakuwa na undugu hadi huko kwa wachawi..utaenda wapi tena