Ontama
Senior Member
- Jul 24, 2019
- 136
- 96
Nimecheka sana, yaani mtu anahama alafu bado anawaza kuiongoza Tena hiyo kata!, Inamaana ccm hakuna watu wenye uwezo wa kuiongoza hiyo kata mpaka yeye tu, mimi nadhani itoshe Sasa watu kuwamia ccm kwa lengo la kupata vyeo, wanna ccm amkeni haiwezekani mkitumikie chama miaka yote hiyo alafu mwisho wasiku anatokea mtu anahamia huko kwa ahadi ya zawadi ya cheo, huku nyinyi mliokipigania chama mnaishia kuvaa sare mitaani🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂