Lazaro Nyalandu ndiye atakuwa mgombea wa CHADEMA kwa mawazo yangu

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,606
8,744
Mwana Ilboru mwenzangu Lazaro ndiye atakuwa mgombea wa Chadema mwaka huu 2020 kama wataruhusiwa kushiriki uchaguzi.

Nilikutana naye 2011 Virginia kwenye mkutano na bahati nzuri nilikuwa namfahamu tangu Ilboru nikamwambia kiutani personality yako inaendana zaidi na upinzani.

Vilevile nilisoma na Kalisti mayor wa Arusha ambaye ameamia CCM naye nilimwambia 2016 kwamba sio mpinzani yeye kwa mawazo yangu angetakiwa kuwa Katibu Mkuu wa TAMISEMI ni Mtendaji au Waziri wa Biashara.

Lakini wote niliwashauri mida tofauti wana muonekano wa kujivuna vuna na waache. Tusubiri tuone lakini nina imani kubwa Nyalandu ndiye atakuwa mgombea na sio Lissu.

Mwezi uliopita nimemwambia direct Kalisti aache kuongea ovyo kwa Chadema maana haiendani na personality yake naona ameacha. Nyalandu akiacha majivuno kidogo ni kiongizi mwenye kipaji sana.

Lazaro Samuel Nyalandu (born 18 August 1970) is a Tanzanian politician, former member of the Chama Cha Mapinduzi and former Minister of Natural Resources and Tourism. He represented the Singida North constituency in the National Assembly since 2000. He is currently a member of CHADEMA, an opposition party in Tanzania.
 
Bora wameweke nabii tito watanzania wengi wanamjua uyu nyalandu tunamjua sisi washinda JF, twitter nk lakini uko mtaani nyalandu hawamjui yani mtaani uko ajulikani kabisa
 
Mwana Ilboru mwenzangu Lazaro ndiye atakuwa mgombea wa Chadema mwaka huu 2020 kama wataruhusiwa kushiriki uchaguzi.

Nilikutana naye 2011 Virginia kwenye mkutano na bahati nzuri nilikuwa namfahamu tangu Ilboru nikamwambia kiutani personality yako inaendana zaidi na upinzani.

Vilevile nilisoma na Kalisti mayor wa Arusha ambaye ameamia CCM naye nilimwambia 2016 kwamba sio mpinzani yeye kwa mawazo yangu angetakiwa kuwa Katibu Mkuu wa TAMISEMI ni Mtendaji au Waziri wa Biashara.

Lakini wote niliwashauri mida tofauti wana muonekano wa kujivuna vuna na waache. Tusubiri tuone lakini nina imani kubwa Nyalandu ndiye atakuwa mgombea na sio Lissu.

Mwezi uliopita nimemwambia direct Kalisti aache kuongea ovyo kwa Chadema maana haiendani na personality yake naona ameacha. Nyalandu akiacha majivuno kidogo ni kiongizi mwenye kipaji sana.

Lazaro Samuel Nyalandu (born 18 August 1970) is a Tanzanian politician, former member of the Chama Cha Mapinduzi and former Minister of Natural Resources and Tourism. He represented the Singida North constituency in the National Assembly since 2000. He is currently a member of CHADEMA, an opposition party in Tanzania.

Ushawahi kusikia kitu inaitwa .... deep under cover? Tafakari.
 
Lazaro Nyalandu yupo nyuma ya mabeberu,watakua tayari kumpa mabilioni,sultani mbowe kwa uchu alio nao atakubali kubadili gear angani
Lakini sioni kama nyalandu ana uwezo hata wa kupata kura laki tano,afadhali Hashimu Spunda Rungwe kuliko Lazaro ni mpigaji tu
 
nadhani wewe ndiye nyalandu mwenyewe umekuja kutest kuona kama watu wanakuelewa. mkuu wewe huna kismati cha uongozi kabisa
 
Nyalandu Haivi na Mbowe alimzibia kugombea ubunge.Chama kikajifabya kinasusa .Baadaye kikawa kinashiriki Kama kawaida.Iliniuma Sana kitendo Mbowe alichomfanyia Nyalandu
 
Sawa! ila tutapitia kwanza rekodi zake za kiutendaji hasa alipokuwa waziri wa maliasili na utalii awamu ya 4 ili tusije kujikuta tunamkabidhii fisi butcher.
 
Waswahili walisema kufanya kosa si kosa ila kurudia kosa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema Kuna Vita ya kichini chini ya kuwapiga chini wote waliotoka CCM.Nyalandu mmojawapo .

Ila kwa Chadema anafaa kugombea kuliko yule mpiga mayowe Lisu

Nyalandu Katulia Ana hekima Hana siasa za hovyo na pesa anayo Sio lofa Kama Lisu

Nyalandu aweza endesha kampeni kwa pesa zake tofauti na lofa Lisu ambaye hela ya kula na kuvaa na Kodi tu analia lia watu wamchangie
 
Back
Top Bottom