PreGE2025 Meya Kinondoni, Songolo: Nchi ina Katiba na Tume Huru ya Uchaguzi, No Reforms No Election haina maana

PreGE2025 Meya Kinondoni, Songolo: Nchi ina Katiba na Tume Huru ya Uchaguzi, No Reforms No Election haina maana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,498
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songolo Mnyonge, amewataka viongozi wa CHADEMA kuacha chokochoko za kisiasa ambazo zinaweza kuhatarisha amani ya nchi, hasa kipindi hiki taifa linapoelekea kwenye uchaguzi. Akizungumza na waandishi wa habari leo baada ya kumaliza uzinduzi wa vijana kuelekea siku ya mapokezi ya mwenge, Meya Mnyonge amesema kuwa madai ya CHADEMA ya kutoshiriki uchaguzi bila mabadiliko ya kisiasa hayana mashiko kwa kuwa nchi tayari ina Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi.

Soma, Pia: Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

"Siioni maana ya kauli ya No Reforms, No Election wakati wabunge wao wa zamani walitokana na Katiba hii hii wanayoikataa leo. Huu ni unafiki wa kisiasa," alisema Mnyonge. Ameongeza kuwa ni muhimu kwa vyama vyote vya siasa kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi kwa njia ya amani na kuheshimu utaratibu wa kidemokrasia uliowekwa

 
Kawaida mashetani hawauoni ubaya wa ushetani wao kwa kuwa wao ni wanufaika wa hayo matendo ya KISHETANI..... Mungu amewalaani na kuzifunga nyoyo mpaka pale itakaposhuka hukumu yao......
 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songolo Mnyonge, amewataka viongozi wa CHADEMA kuacha chokochoko za kisiasa ambazo zinaweza kuhatarisha amani ya nchi, hasa kipindi hiki taifa linapoelekea kwenye uchaguzi. Akizungumza na waandishi wa habari leo baada ya kumaliza uzinduzi wa vijana kuelekea siku ya mapokezi ya mwenge, Meya Mnyonge amesema kuwa madai ya CHADEMA ya kutoshiriki uchaguzi bila mabadiliko ya kisiasa hayana mashiko kwa kuwa nchi tayari ina Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi.

Soma, Pia: Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

"Siioni maana ya kauli ya No Reforms, No Election wakati wabunge wao wa zamani walitokana na Katiba hii hii wanayoikataa leo. Huu ni unafiki wa kisiasa," alisema Mnyonge. Ameongeza kuwa ni muhimu kwa vyama vyote vya siasa kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi kwa njia ya amani na kuheshimu utaratibu wa kidemokrasia uliowekwa

Ukimtazama tuu macho na sura yake anaoneka kabisa ni mvuta bangi
huyu ,unatarajia nini kutoka kinywani mwakeb mtu huyo
 
Mtu mwenyewe kishapewa jina la ukoo Mnyonge, kishanyongwa huyo. Hapo kinachoongea ni mzimu wake tu, mpuuzieni. Na msura wake ulivyomtuna, kama kang'atwa na nyuki.
 
Mleta mada zipo taarifa za kuleta na sio kila taarifa hata kama ni ya kipumbavu unatuletea huku jukwaani.
Huyo anaongozwa na mkuno wa njaa ya tumbo.
 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songolo Mnyonge, amewataka viongozi wa CHADEMA kuacha chokochoko za kisiasa ambazo zinaweza kuhatarisha amani ya nchi, hasa kipindi hiki taifa linapoelekea kwenye uchaguzi. Akizungumza na waandishi wa habari leo baada ya kumaliza uzinduzi wa vijana kuelekea siku ya mapokezi ya mwenge, Meya Mnyonge amesema kuwa madai ya CHADEMA ya kutoshiriki uchaguzi bila mabadiliko ya kisiasa hayana mashiko kwa kuwa nchi tayari ina Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi.

Soma, Pia: Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

"Siioni maana ya kauli ya No Reforms, No Election wakati wabunge wao wa zamani walitokana na Katiba hii hii wanayoikataa leo. Huu ni unafiki wa kisiasa," alisema Mnyonge. Ameongeza kuwa ni muhimu kwa vyama vyote vya siasa kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi kwa njia ya amani na kuheshimu utaratibu wa kidemokrasia uliowekwa

Ugolo wa kichwani ni mbaya sana.
 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songolo Mnyonge, amewataka viongozi wa CHADEMA kuacha chokochoko za kisiasa ambazo zinaweza kuhatarisha amani ya nchi, hasa kipindi hiki taifa linapoelekea kwenye uchaguzi. Akizungumza na waandishi wa habari leo baada ya kumaliza uzinduzi wa vijana kuelekea siku ya mapokezi ya mwenge, Meya Mnyonge amesema kuwa madai ya CHADEMA ya kutoshiriki uchaguzi bila mabadiliko ya kisiasa hayana mashiko kwa kuwa nchi tayari ina Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi.

Soma, Pia: Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

"Siioni maana ya kauli ya No Reforms, No Election wakati wabunge wao wa zamani walitokana na Katiba hii hii wanayoikataa leo. Huu ni unafiki wa kisiasa," alisema Mnyonge. Ameongeza kuwa ni muhimu kwa vyama vyote vya siasa kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi kwa njia ya amani na kuheshimu utaratibu wa kidemokrasia uliowekwa

Mwambieni huyo 🐷hayamuhusu!
No Reforms No Election 🔥
 
Huyu kila nkimuonaga namuulizaga ilikuwaje ukajenga
Kule bwawani wakati wa mvua jumba lote linajaa maji ana kazi
Kufunga pump linatoa maji tu
Nasikia sahv hakai pale wako watoto wake tu

Ova
Ukimuangalia kwa kumkazia macho unaona yupo timamu kweli?
 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songolo Mnyonge, amewataka viongozi wa CHADEMA kuacha chokochoko za kisiasa ambazo zinaweza kuhatarisha amani ya nchi, hasa kipindi hiki taifa linapoelekea kwenye uchaguzi. Akizungumza na waandishi wa habari leo baada ya kumaliza uzinduzi wa vijana kuelekea siku ya mapokezi ya mwenge, Meya Mnyonge amesema kuwa madai ya CHADEMA ya kutoshiriki uchaguzi bila mabadiliko ya kisiasa hayana mashiko kwa kuwa nchi tayari ina Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi.

Soma, Pia: Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

"Siioni maana ya kauli ya No Reforms, No Election wakati wabunge wao wa zamani walitokana na Katiba hii hii wanayoikataa leo. Huu ni unafiki wa kisiasa," alisema Mnyonge. Ameongeza kuwa ni muhimu kwa vyama vyote vya siasa kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi kwa njia ya amani na kuheshimu utaratibu wa kidemokrasia uliowekwa

Meya kaishia darasa la ngapi?
 
Back
Top Bottom