gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,670
- 2,165
kama tulivyosema kuwa na raisi wa namna ya Makufuli miaka hii mitano itakuwa ya kusikia na kuona mambo mengi ya ajabu
Chadema hawakurupuki km wale wa mwendo kasi, chadema wanaenda kwa mipango madhubuti, na kwa umakini mkubwa, ndo maana polic washaanza kuandamana hata kabla ya ukuta wenyewe, maadamano ni sept 1 sio leoChadema wangekuwa siyo wapiga domo bila vitendo hayo maandamano yangeanzia hapo sasa hivi!
Kwani umoja huo, ni kwamba haupo au? Sioni tatizo, ilimradi tafsiri na kirefu chake kimeelezewa.mkuu, pamoja na wengine mliotumia lugha hii, hata kama hatukubaliani kile kinachoendelea ila kutumia lugha hii ni ishara tosha kuwa sasa majadiliano yanakosa maana
jf members pamoja na mods, sina uhakika hii lugha tunaitumia hum, ni vyema ukafuta bandiko lako au ww na wenzio mtakutana na burn milele kabisa..
Ogopa watu wakichoka..Una uakika hakuna aliye juu ya sheria? ccm na mwekiti wao wanalitambua hilo ?
Tunakuja kuongeza nguvutuko hapa kituo cha bomang'ombe hali ni tete polis wanatoa orda watu watawanyike raia wamegoma
Wewe' vikao vya ndani vya vyama vya siasa vimepigwa Marufuku" so hilo sio kosa.hUJASEMA SABABU UNAANZA TU KUSEMA UONEVU. LABDA TU CHA KUZINGATIA HAMNA ALIYE JUU YA SEHRIA!
what crime?Kumbe kuwa Chadema unakua immuned from being arrested after committing a crime?
Ukitamka neno UKUTA utapigwa maana hakuna namna nyingineMagereza itajaa wanamapinduzi
Polisi ni adui wa raia waovu. Raia wema tupo bega kwa bega na polisiPolisi wameamua kujitangaza kuwa maadui wa raia? Basi hakuna sababu ya raia kuendelea kuishi na polisi uraiani. Hatuwezi kuishi na maadui
tuko hapa kituo cha bomang'ombe hali ni tete polis wanatoa orda watu watawanyike raia wamegoma
ndio jambo la kushangaza. Wanaacha kuonesha bunge live kwa kubana matumizi huku wanahamishia matumizi kwa jeshi la polisi. WANAUDHI. KODI ZETU ZINAPOTEA BURENdio matumizi ya kodi yetu hayo??
Hahahahaaaa hawa ndio wasomi wa Tanzania!!! Hata kufikiri hawawezi. JIONGEZE NDUGUKumbe kuwa Chadema unakua immuned from being arrested after committing a crime?
Don't be stupid as usual,which crime?Kumbe kuwa Chadema unakua immuned from being arrested after committing a crime?