King Leopold II
Member
- Aug 20, 2014
- 56
- 102
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Meya wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro Bukhay, Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro Basil Lema, Katibu wa chama Wilaya ya Siha, Diwani wa Nasai Solomon Mmary, Diwani Viti Maalum Witness Riwa na Mwenyekiti wa BAVICHA Wilaya ya Siha wamekamatwa na Polisi muda huu wakiwa katika kikao cha ndani Sanya Juu.
Huu no uonevu mkubwa lazima tuupinge kwa nguvu zote.
Hawa Polisi wapo busy na CHADEMA huku wanawaacha majambazi wakitamba hadi wamefikia kuwaua Polisi wenzao kama kuku.
Polisi acheni kufanya siasa za kuibeba CCM hamtaweza
UKUTA
Huu no uonevu mkubwa lazima tuupinge kwa nguvu zote.
Hawa Polisi wapo busy na CHADEMA huku wanawaacha majambazi wakitamba hadi wamefikia kuwaua Polisi wenzao kama kuku.
Polisi acheni kufanya siasa za kuibeba CCM hamtaweza
UKUTA