Meya azuiwa tena kuingia kwenye kikao

Acheni kung'ang'ania madaraka, meya hela anabeba kwenye briefcase au!! Sababu zenu hazina mashiko
Ajiuzuru kulinda heshima yake vinginevyo ni msaka tonge tu na hana means nyingine ya kuishi, atazoea tu sio lazima awe meya jamani.
Hatoondoka kifala
 
Rais kuendelea kumuacha huyu mkurugenzi Ni aibu kubwa sana.hivi kwa nini wanatumia nguvu hivi?
 
Acheni kung'ang'ania madaraka, meya hela anabeba kwenye briefcase au!! Sababu zenu hazina mashiko
Ajiuzuru kulinda heshima yake vinginevyo ni msaka tonge tu na hana means nyingine ya kuishi, atazoea tu sio lazima awe meya jamani.
Watu wanataka kukwiba mabilioni kuelekea uchaguzi Mkuu, meya Ni kikwazo kwa dili hilo
 
Unashangaa ya Liana unaacha kushangaa ya Jiwe na sinema ya kina Kangi?


=====

Fujo ZAIBUKA...Azungumza! Meya wa jiji la Dar Isaya Mwita ambaye ni pia ni diwani wa Mbweni amezuliwa na Askari Kuingia ofisi kwake alipoenda kwa ajili ya kuhudhuria vikao vya Halmashauri. Madiwani wote ni wajumbe wa vikao kuhusu masuala ya jiji la Dar es Salaam .

Sakata la leo limetokea mbele ya mabalozi wa nchi za nje wanaowakilisha nchi zao Tanzania waliofika kikazi ktk eneo la ofisi za meya . Kiitifaki Meya Isaya Mwita Charles anatakiwa awapokee kwa niaba ya wananchi wa Dar es Salaam.

Sakata la meya lilianza baada ya kura za kumuondoa kisheria ya 2/3 za madiwani wote kabisa waridhie aondoke kwenye umeya kushindikana kupatikana. Sasa suala hili limekuwa la kisiasa zaidi kwa mkurugenzi wa jiji na serikali ya CCM kufanya kila linalowezekana kumzuia meya kuingia ofisini na hata kufikia kumzuia meya ambaye ni diwani kuhudhuria vikao kama diwani.

Source: Global TV online


Sent using Jamii Forums mobile app
 
A nation day of shame
January 23, 2020
Dar es Salaam Tanzania



Fujo ZAIBUKA...Azungumza! Meya wa jiji la Dar Isaya Mwita ambaye ni pia ni diwani wa Vijibweni amezuliwa na Askari Kuingia ofisi kwake alipoenda kwa ajili ya kuhudhuria vikao vya Halmashauri. Madiwani wote ni wajumbe wa vikao kuhusu masuala ya jiji la Dar es Salaam .

Sakata la leo limetokea mbele ya mabalozi wa nchi za nje wanaowakilisha nchi zao Tanzania waliofika kikazi ktk eneo la ofisi za meya . Kiitifaki Meya Isaya Mwita Charles anatakiwa awapokee kwa niaba ya wananchi wa Dar es Salaam.

Sakata la meya lilianza baada ya kura za kumuondoa kisheria ya 2/3 za madiwani wote kabisa waridhie aondoke kwenye umeya kushindikana kupatikana. Sasa suala hili limekuwa la kisiasa zaidi kwa mkurugenzi wa jiji na serikali ya CCM kufanya kila linalowezekana kumzuia meya kuingia ofisini na hata kufikia kumzuia meya ambaye ni diwani kuhudhuria vikao kama diwani.

Awali Sakata hilo lilifikishwa mahakamani lakini kesi iliondolewa baada ya kufahamika kuwa Meya hakuwa ameondolewa kwa kuwa akidi haikuwa imefikiwa hivyo hakuna msingi suala hilo kufikishwa Mahakamani.

Source: Global TV online


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliandika hapa na nitazidi kuandika Tena na Tena as long as nipo hai,,ni hivi wanaohusika kumshauri huyu mkurya wamueleze Hali halisi kuliko kuishi na nightmare ni heri akashika hamsini zake afanye kazi/shughuli nyingine kuliko kusumbuka na umeya ambao tayari ameshatolewa!!!
Kifuatacho wote mtamhurumia.
Mmepanga kimteka au? Tangu muanze kuteka,kuua na kubambikia kesi,tena siku hizi mmetunga sheria ya Money Laundering, je mme-achieve your goal?

Nini mlichofanikiwa?CCM yenu imepanda chat?

Mnawaza kuua tu au kuweka watu jela muda wote!!!!khaaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmepanga kimteka au? Tangu muanze kuteka,kuua na kubambikia kesi,tena siku hizi mmetunga sheria ya Money Laundering, je mme-achieve your goal?

Nini mlichofanikiwa?CCM yenu imepanda chat?

Mnawaza kuua tu au kuweka watu jela muda wote!!!!khaaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuliza akili bro,atekwe kwa kipi alichonacho Cha kutisha wakati Baraza la madiwani tu lishamuweza!!nitajie watu waliobambikiwa kesi na uthibitisho,sheria za ML zilitungwa na bunge ikiwemo mjuaji wenu TL na wapinzani wengine,ndio CCM ya Sasa imepanda chart sana.👍👍
 
Hawa cdm wako teyari hata kuanzisha vita kwa ajili ya umeya jamani!!!
Sio upande wa pili ndio wako tayari kuanzisha vita kwaajili ya umeya? Kwanini wasimwachie amalize miezi iliyobaki?
 
Sio upande wa pili ndio wako tayari kuanzisha vita kwaajili ya umeya? Kwanini wasimwachie amalize miezi iliyobaki?
MA CCM YAMEAPA KUMMALIZA MAANA ALIKATAA OFFER YA KUNUNULIWA WENYEWE WANAITA KUUNGA JUHUDI ZA MAGUFURI. SASA HIYO KITU IMEWAUMA MNOONDIO CHANZO CHA MATATIZO YANAYO MKABILI HMEYA ISAYA MWITA. YAANI MA CCM YAPO TAYARI KUMUUWA KISA AMEKATAA KUNUNULIWA NI AIBU SANA. HAKUNA AWAMU MBOVU KAMA HII YA 5
 
Hawa cdm wako teyari hata kuanzisha vita kwa ajili ya umeya jamani!!!

Ujue wewe ni chizi!
Hivi kati ya CHADEMA na CCM .nani anaanzisha vita?
Meya amenda kama Diwani kuhudhuria kikao halali LAKINI KWASABABU YA upuuzi tu wa CCM ya Magufuli wanamuzuia Meya Mwita.....! Halafu kesho kichaa mmoja anasimama na kusema ati: MAENDELEO HAYANA CHAMA………!! Non sense.
 

Ujue wewe ni chizi!
Hivi kati ya CHADEMA na CCM .nani anaanzisha vita?
Meya amenda kama Diwani kuhudhuria kikao halali LAKINI KWASABABU YA upuuzi tu wa CCM ya Magufuli wanamuzuia Meya Mwita.....! Halafu kesho kichaa mmoja anasimama na kusema ati: MAENDELEO HAYANA CHAMA………!! Non sense.
MAGUFURI anapenda kuhadaa wananchi. Et maendeleo hayana chama. Then anasema ukitaka maendeleo hamia ccm it doesn't make any sense.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom