Meya apitisha Sheria mpya za Kutumia Guest House

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,471
23,744
Kutokana na wimbi la mauaji yanayoendelea jijini hapa hasa kwenye nyumba za wageni. Meya wa Jiji na Mkuu wa Mkoa wamepitisha Sheria hizi ambazo zita anza kutumika tar 15/5/2016. Sheria hizo.
1. Mnapoingia guest house mnapaswa muwe na barua toka serikali za mtaa.
2. Wote wawili muache copies za vitambulisho na hati za kuzaliwa
3. Wote wawili mtapiga picha mkiwa meshikana mikono na kuziacha hapo guest house likitokea lolote ziweze kutumika
4. Hati za kiapo kuwa hamchepuki
5. Kama mnachepuka basi muandike barua ya maelezo kwa nini mnachepuka

Sheria hizi zinapaswa kutumika kwa kila anayeenda kulala nyumba za wageni.
 
Kutokana na wimbi la mauaji yanayoendelea jijini hapa hasa kwenye nyumba za wageni. Meya wa Jiji na Mkuu wa Mkoa wamepitisha Sheria hizi ambazo zita anza kutumika tar 15/5/2016. Sheria hizo.
1. Mnapoingia guest house mnapaswa muwe na barua toka serikali za mtaa.
2. Wote wawili muache copies za vitambulisho na hati za kuzaliwa
3. Wote wawili mtapiga picha mkiwa meshikana mikono na kuziacha hapo guest house likitokea lolote ziweze kutumika
4. Hati za kiapo kuwa hamchepuki
5. Kama mnachepuka basi muandike barua ya maelezo kwa nini mnachepuka

Sheria hizi zinapaswa kutumika kwa kila anayeenda kulala nyumba za wageni.
Hii sio kweli bwanaa
 
Acha kutuzingua huo utaratibu hautakuwepo milele. tena itafika time hata ukiingia gest na kanafunzi na sale za shule fresh tuu unaruhusiwa
 
Kutokana na wimbi la mauaji yanayoendelea jijini hapa hasa kwenye nyumba za wageni. Meya wa Jiji na Mkuu wa Mkoa wamepitisha Sheria hizi ambazo zita anza kutumika tar 15/5/2016. Sheria hizo.
1. Mnapoingia guest house mnapaswa muwe na barua toka serikali za mtaa.
2. Wote wawili muache copies za vitambulisho na hati za kuzaliwa
3. Wote wawili mtapiga picha mkiwa meshikana mikono na kuziacha hapo guest house likitokea lolote ziweze kutumika
4. Hati za kiapo kuwa hamchepuki
5. Kama mnachepuka basi muandike barua ya maelezo kwa nini mnachepuka

Sheria hizi zinapaswa kutumika kwa kila anayeenda kulala nyumba za wageni.
Itasababisha wageni kupungua kwenye hizo Guest House a.k.a Lodge. Wageni wakipungua, mapato ya wenye hizo Guest House yatapungua. Mapato yakipungua wenye Guest House watapunguza wafanya kazi (Unemployment) na Kodi ya Mapato itapungua kwa Serikali.

Maamuzi mengine inabidi uyapime kwa upana zaidi ya kumfurahisha bwana mkubwa.
 
Du! Hii kal tutapanga vyumba to mtaan siku na mchepuko wako mnaenda abal za picha nan anataka alaf kesho unazikuta mtandaon
 
Back
Top Bottom