Umwana wa mkeba yoilasa ,yoilasa kwihembe. (mtoto wa kabo akienda kuwinda bora mshale ulenge kwenye pembe)
hizi ni methali kidogo zenye roho mbaya , mtoto wa kabo asiwe mwenye mafanikio bali wako tu , ndiyo maana alenge pembe ambapo mnyama hawezi kufa badala yake ataondoka zake, KINGAZA