Mjanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,238
- 324
I WONDER IF IN "POST RACISM" ERA SOME ONE CAN STILL STAND UP TO TALK OF SEGREGATION..HIYO NYEKUNDU MKUU HAIJAKA NJEMA UBAGUZI SIYO ISSUE TODAY! WAWAACHE WALIBYA WAMWONDOE GADDAFI WENYEWE!:frusty::frusty: NIKIKUTANA NA OBAMA NAMPA HIVO VICHWA!
Maji yashazidi unga..lol
Kuwapa watu nyumba, hospitali na mashule n.k. is never a substitute kwa kujikusanyia nguvu za kidola na kuzifanya kama ni mamlaka ya kifamilia na wapambe wateule wachache. Ingelikuwa ni kweli kwamba nchi inaongozwa na kamati za watu ni wazi hao watu waliokuwa 'enchanted' na 'crusaders' wangekuwa overpowered na watu wanaowakilishwa na hizo kamati za uongozi. Hapanshaka. All in all, Gaddafi na US all are tyrannic regimes hakuna jipya hapa na sioni sisi watz na AU kwa ujumla ijihusishe na matatizo ya mfalume juha badala ya real ishu za ngozi nyeusi.