Meseji za uzushi kwenye simu.

Meseji za uzushi kwenye simu.

asakuta same

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2011
Posts
14,829
Reaction score
5,039
Kumekuwa na tabia ya watu au kikundi cha watu kwa malengo wanayofahamu wenyewe kutenga meseji za uzushi kuwatisha watu na kuzisambaza kwenye mitandao ya simu.... kwamfano walianza na meseji ya kuwazimisha simu watu usiku wa saa sita (tarehe nimesahau) kuwa kutatokea migongano ya kimionzi ,kama mwezi mmoja uliopita tena wakawatumia tena watu namba wakidai ni ya freemansoon na leo nimepokea meseji kwenye simu inasema "ukitumiwa pesa na mtu usiyemjua kwenye mpesa, tigo pesa, aun airtel money au mtandao wowote usiitoe. kuna mtu katumiwa 100,000 na mtu asiyemjua kukosa utulivu kaenda kutoa baada ya kutoa kapata sms (Asante kwa kujiunga na freemansoon). kwa upendo wako watumie wote unaowajua. si uongo bali ni habari ya ukweli"

huu uzushi unaleta sintofahamu kwa jamii na zaidi kwa watu wasioweza kuchambua kipi ni kweli na kipi ni uzushi ,kawaida mimi huwajibu huo ni uongo mkubwa sana.
sasa najiuliza ,wanaotunga huu uzushi/uongo ni kina nani?
wanafaidika na nini?
ni nini malengo yao?
hawaoni wanaleta usumbufu usiokuwa wa lazima?
karibuni wadau na nyie mchangie ........
 
Kumekuwa na tabia ya watu au kikundi cha watu kwa malengo wanayofahamu wenyewe kutenga meseji za uzushi kuwatisha watu na kuzisambaza kwenye mitandao ya simu.... kwamfano walianza na meseji ya kuwazimisha simu watu usiku wa saa sita (tarehe nimesahau) kuwa kutatokea migongano ya kimionzi ,kama mwezi mmoja uliopita tena wakawatumia tena watu namba wakidai ni ya freemansoon na leo nimepokea meseji kwenye simu inasema "ukitumiwa pesa na mtu usiyemjua kwenye mpesa, tigo pesa, aun airtel money au mtandao wowote usiitoe. kuna mtu katumiwa 100,000 na mtu asiyemjua kukosa utulivu kaenda kutoa baada ya kutoa kapata sms (Asante kwa kujiunga na freemansoon). kwa upendo wako watumie wote unaowajua. si uongo bali ni habari ya ukweli"

huu uzushi unaleta sintofahamu kwa jamii na zaidi kwa watu wasioweza kuchambua kipi ni kweli na kipi ni uzushi ,kawaida mimi huwajibu huo ni uongo mkubwa sana.
sasa najiuliza ,wanaotunga huu uzushi/uongo ni kina nani?
wanafaidika na nini?
ni nini malengo yao?
hawaoni wanaleta usumbufu usiokuwa wa lazima?
karibuni wadau na nyie mchangie ........


Japo sikubaliani na uzushi huo lakini hili suala la kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemfahamu ukakimbilia kutoa ni tamaa kama siyo wizi. Wengine wanakosea namba bila wao kujua ukikimbilia kutoa ni kama vile umetapeli.
 
Japo sikubaliani na uzushi huo lakini hili suala la kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemfahamu ukakimbilia kutoa ni tamaa kama siyo wizi. Wengine wanakosea namba bila wao kujua ukikimbilia kutoa ni kama vile umetapeli.

tatizo ni kwanini uanzishe uongo na kusisitiza watu wausambaze mkuu?
 
Some people are simply lunatics...huwezi wabadilisha!!!

kuna watu wanasema ni mbinu za kibiashara za makampuni ya simu ,ila nikijaribu kufanya calculation sioni faida sana kwenye hili.

kwa kifupi inakera sana
 
tatizo ni kwanini uanzishe uongo na kusisitiza watu wausambaze mkuu?
Mimi napingana na uzushi huo lakini vile vile napingana na tabia ya simu yako kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua ukakimbilia kuichukua.
 
Mimi napingana na uzushi huo lakini vile vile napingana na tabia ya simu yako kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua ukakimbilia kuichukua.

kufanya hivyo ni mwanzo wa kuitelekeza namba yako ,na ukiona mtu yupo tayari kubadili namba kwa vijisenti vya sim-money basi ujue ni njaa inamsumbua
 
kaka mkubwa amini hizi ni mbinu za makampuni ya simu, kunajamaa yangu aliwahi niambia kuwa kuna kuwepo na watu kadhaa wenye uwezo wa kutunga msg zenye mvuto kisha zina sambazwa kwa wateja japo watano tu. na msg itakayo soma zaidi kwenye sistim basi mtunzi anapewa kitita chake. kwa kawada msg 1 ni sawa na tsh 40 mpaka 60

embu tupige hesabu kwa kutengenza mzunguko wa japo laki moja tunaweza kupata sh’ngapi.???
 
Mimi napingana na uzushi huo lakini vile vile napingana na tabia ya simu yako kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua ukakimbilia kuichukua.

Je unapotuma pesa huwa haionjeshi kuwa inakwenda kwa nani kabla haujathibitisha? Au ikishakwenda huwa haitumi sms kuwa fedha zimetumwa kwa so and so? Au ukituma pesa haupigi kwa unaemtumia ku check if its received. Labda kama unamtumia hawara haraka haraka na upo na wife unashidwa kuhakikisha namba.

Kama unajua umekosea namba si unatakiwa haraka kumpigia ukiemtumia kumuomba msamaha kisha kufanya proces ya kuzirudisha?
 
Je unapotuma pesa huwa haionjeshi kuwa inakwenda kwa nani kabla haujathibitisha? Au ikishakwenda huwa haitumi sms kuwa fedha zimetumwa kwa so and so? Au ukituma pesa haupigi kwa unaemtumia ku check if its received. Labda kama unamtumia hawara haraka haraka na upo na wife unashidwa kuhakikisha namba.

Kama unajua umekosea namba si unatakiwa haraka kumpigia ukiemtumia kumuomba msamaha kisha kufanya proces ya kuzirudisha?

Hayo yote yanafanyika lakini kuna wakati mtandao unaweza ukawa unasumbua, kila ukijaribu kumpigia humpati. Kukosea namba katika kutuma hakuhalalishi mtu kuchukua pesa ambayo siyo ya kwake.
 
inabore sana eti. unaweza kuzima simu ukakosa deal za maana. i hate that so much. tatizo ni kuwaaminisha watu ishu zizizokuwa na ev
idence
 
kaka mkubwa amini hizi ni mbinu za makampuni ya simu, kunajamaa yangu aliwahi niambia kuwa kuna kuwepo na watu kadhaa wenye uwezo wa kutunga msg zenye mvuto kisha zina sambazwa kwa wateja japo watano tu. na msg itakayo soma zaidi kwenye sistim basi mtunzi anapewa kitita chake. kwa kawada msg 1 ni sawa na tsh 40 mpaka 60

embu tupige hesabu kwa kutengenza mzunguko wa japo laki moja tunaweza kupata sh'ngapi.???

hilo hata mimi nililisikia ,ila najaribu kuangalia inaingiza faida vipi kwenye makampuni ya simu mkuu?
 
inabore sana eti. unaweza kuzima simu ukakosa deal za maana. i hate that so much. tatizo ni kuwaaminisha watu ishu zizizokuwa na ev
idence


wakati mwingine unakuta aliyekutumia hiyo meseji ni mtu unaheshimiana naye , unaona kama ukimkatalia kuwa ni uongo ni kama unamshushia uwezo wake wa kujurge........ inakera sana
 
Msg kama hizo zinaweza kuanza kwa utani tu.
Zamani kidogo kuna mtu aliwahi anzisha rumor,
just to see how long it takes for it to come back to her.
Alianzisha message ya kuita maandamano, usiku saa mbili
kesho yake asubuhi akapokea msg kualikwa maandamano

Messages zingine zinaanzishwa kwa propaganda tu,
kama zile za kuchochea udini au uchochezi wa vyama
Zingine ni ujinga tu, ndio kama hiyo.
 
kaka mkubwa amini hizi ni mbinu za makampuni ya simu, kunajamaa yangu aliwahi niambia kuwa kuna kuwepo na watu kadhaa wenye uwezo wa kutunga msg zenye mvuto kisha zina sambazwa kwa wateja japo watano tu. na msg itakayo soma zaidi kwenye sistim basi mtunzi anapewa kitita chake. kwa kawada msg 1 ni sawa na tsh 40 mpaka 60

embu tupige hesabu kwa kutengenza mzunguko wa japo laki moja tunaweza kupata sh’ngapi.???

I think so
 
hilo hata mimi nililisikia ,ila najaribu kuangalia inaingiza faida vipi kwenye makampuni ya simu mkuu?

kwenye vocha mkuu hapo vocha hutembea sana hasa ukute zile msg za ki-imani wanasema tuma msg hii kwa watu kumi na usipo fanya hivyo yatakupata kama yalivyompata ....... nk ..nk
 
kwenye vocha mkuu hapo vocha hutembea sana hasa ukute zile msg za ki-imani wanasema tuma msg hii kwa watu kumi na usipo fanya hivyo yatakupata kama yalivyompata ....... nk ..nk

siku hizi mia tano inatosha kukupa meseji zaidi ya mia mitandao yote
 
siku hizi mia tano inatosha kukupa meseji zaidi ya mia mitandao yote
hapo hapo kwenye mia tano,kama hauna hiyo mia tano katika simu huoni inaweza kukusukuma kwenda kununua vocha ili ufoadi hiyo msg.???
 
Msg kama hizo zinaweza kuanza kwa utani tu.
Zamani kidogo kuna mtu aliwahi anzisha rumor,
just to see how long it takes for it to come back to her.
Alianzisha message ya kuita maandamano, usiku saa mbili
kesho yake asubuhi akapokea msg kualikwa maandamano

Messages zingine zinaanzishwa kwa propaganda tu,
kama zile za kuchochea udini au uchochezi wa vyama
Zingine ni ujinga tu, ndio kama hiyo.

bora hao wa propaganda kwasababu tunajua malengo yao ni nini ..... sasa hawa wenzangu wa kuleta hofu na mtafaruku kwa jamii na meseji zao nashindwa kuelewa hasa malengo yao ni nini? kwa mfano meseji inatishia watu mionzi ya uongo au inatishia watu ufreemansoon.... nakosa majibu kabisa Mwali
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom