Meseji (SMS) za dawa za Kiganga: Je, hawa ni matapeli? TCRA mko wapi? Namba wanatoa wapi?

namba zetu za simu tunawapatia wenyewe kwa kujiunga kwenye magroup ya whatsapp ambayo mengi mtu akituma linki tu kwenye social media hatutaki kupitwa, na njia nyingine ambayo wanatumia kuwatarget watu wengi na kukupigia simu kabisa kwamba anatoka vodacom ama shirika flani ni kupitia kwenye makongamano ama sehemu ambapo wanajua watu potential wanakuwepo, wanachokifanya ni kudanganya ama kutumia nyia yoyote wapate business cards kwa kisingizio cha connections..we have to be careful sana to whom we share our contacts,
 
Habari zenu wakuu...

Kumekua na utapeli mwingi sana mitandaoni siku hizi ya mitandao ya simu ambapo unatumiwa message ikianza na maelezo kama "Hiyo hela tuma kwenye number........ " ikiendelea na maelezo mengi ya kuashiria kwamba huyo mtu yupo kwenye shida na anauhitaji wa hiyo fedha na atakueleza kuwa hiyo hela uitume kwenye number flani au njia nyingine yeyote

Njia zipo nyingi sana ila huo ni mfano tuu

KWANINI NIMEHISI MATAPELI HAO HUWA WANASHIRIKIANA NA WAFANYAKAZI WA MITANDAO HIYO???

Nimefuatilia hizi message kwa ukaribu sana na nikagundua kwamba mara nyingi hizo messages huwa znaingia kipindi ambacho nimefanya miamala mingi ya fedha au nimetuma message kuhusu miamala flani kama "nikutumie shilling ngapi??" au nimepokea message inayotaka nitume fedha hapo ndipo huwa hizo message zinaingiaga.

Kwahiyo kwa akili yangu nimefikiria na kugundua kwamba wanaohusika na hii michongo ni wafanyakazi wa hiyo mitandao maana hao pekee ndio wanaoweza kuona messages zetu, calls zetu na transactions zetu.

Hayo ni mawazo yangu, unaweza pia ongezea na mawazo yako maana wanaotapeliwa ni wengi.

View attachment 794486View attachment 794487View attachment 794488View attachment 794489
Acha zako,je sisi tunaotumiwa bila kuwa na mchongo wowote au msg zozote za kutuma pesa inakuaje?
Tuache kwasingizia watu wa mitandao hizi msg zinatumwa tu kiholela maana ni nina namba hata haijaungwa hiyo mpesa lkn msg zinafika
 
Frankly the public need awareness kwenye hili..
Huwa nawaza bibi zetu kule vijijini si huwa wanaibiwa sana..??
 
Screenshot_20180701-201027.png


Wafanyakazi wa mitandao au mawakala wa kusajili line wanahusika.
Line nimesajili haijamaliza hata siku 4 napata meseji ya kise.nge
 
Sasa hivi imeshakuwa jambo la kawaida mtu kupata ujumbe toka namba geni (isiyo kwenye majina uliyohifadhi ktk simu) ukisema ile hela tuma kwenye namba hii, jina litatoka fulani simu yangu mbovu fanya haraka. Swali language hawa watu imekuwa ngumu kuwapata ingawa simcard zote zinasajiliwa kabla ya kuanza kutumika?
 
Wao wako buzy kubuni namna ya kuhaki simu za watanzania ili kubaini kama kuna video za ngono zmehifadhiwa,very interesting
 
Hao wezi lkn mitandao ya simu nao wezi je hawazuiliki? Unaweka buku baada ya muda ukiangalia salio 50 ishapungua inaboa kinyama
 
Nina karibu mwezi mzima sijapata hizo msg. Nina line karibu mitandao yote lakini sipokei tena hizo jumbe kw muda huo niliotaja.
 
Back
Top Bottom