Meseji inayosambaa kwa walimu hivi sasa

Meseji inayosambaa kwa walimu hivi sasa

Nimesikia kwenye taarifa ya habari ya saa 7 mchana TBC Kuwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi ametangaza rasmi matokeo ambapo kiwango cha ufaulu kimeongezeka mwaka huu. waliofaulu ni asilimia 64 ya wanafunzi waliomaliza D7
 
mi ndo mana walimu nawadharau daily yan ni vilaza kweli,ss hl jambo la sifa!shame on you mwalimu wa tz akili huna

Kuwadharau kwako bado hakutatui tatzo, kujiziba masikio na kutowaskiliza mnawaita vilaza hakusaidii watoto wa wakulima kwenye shule za kata, basi km vlaza wekeni wenye akili wawafundishie watoto
 
mi ndo mana walimu nawadharau daily yan ni vilaza kweli,ss hl jambo la sifa!shame on you mwalimu wa tz akili huna

Hapo ndo umesaidia ku rectify situation!?? kazi inaendelea, watashika chaki kina kj, ndapi, kawa mbwa, mzee wa visiwa vya zimbabwe et al.
 
mi ndo mana walimu nawadharau daily yan ni vilaza kweli,ss hl jambo la sifa!shame on you mwalimu wa tz akili huna

Endelea kudharau, ila rudi class ili walimu haohao wakakufundishe zaidi uelimike na sio kujua kuandika na kusoma tu ili upost humu
 
"Kama ni kura za wafanyakazi sizitaki" (Jeikei, 2010). Bila shaka alimaanisha na walimu pia.
 
Kwel ucpoziba ufa utajenga ukuta ndo kama hii bdae 2seme tz taifa bovu kwa hal hii kz ip. Lkn nan alaumiwe?
 
Na ww pia ni Mwl?
Ndugu yangu GOOGLE hiyo ndio taarifa kutoka kwenye chanzo cha ndani na ndiyo meseji inayosambazwa hivi sasa kwa walimu,,hivyo tuijadili kama ilivyo,,kuanza kuniulizia kama mimi ni mwalimu mi nadhani hiyo siyo hoja ya msingi,,,hoja ya msingi hapa ni kuwa kwa tabia hii elimu yetu inajifia taratibu,,so how can we do as a nation to overcome this????
 
Karl max aliwai kusema "workers of the world you have to unite there is nothing to loss but your own chains" swali je walimu wote wanaijua dhana hii au ndo yale ya mukoba na yule mjaluo kupayuka payuka kwenye vyombo vya habari bila vitendo mi naona CWT ivunjwe then waandae katiba yao mpya coz most of top leaders ni magamba na usalama wa taifa kwa kufanya ivo uenda mkapunguza gepu tazameni wenzenu wakenya wamethubutu wameweza na wanasonga mbele, mnakuwa km ludism waliokua wanaaribu mashine wakijua ndo adui wao kumbe hamna AMKENI MBADILIKE HUENDA MKAWASHAWISHI WATU WENGINE KUSOMA EDUCATION NI HAYO TU[/QUOT

nchi hii itagawanwa kama nyara na mtapotea watz wote
 
Lo! Serikali iache amzaha kazini! Raisi,waziri,Wabunge,na wengne maarufu wote wamefundishwa na waalimu,hivyo waalimu wastahili kulipwa bila vigezn vyote,kufuatana na idara husika.je mwafurahi wabunge &mawasiri wakiharibu hela,ilhali
 
Hapa tutapiga kelele weeeeee,lakini nani anajali?utamfanya nn asipokusikiliza huyo mtawala wako?hii nchi kwa sasa ni kama gari lisilo na usukani,wala taa,linakweenda tu,litakapogotea ndo mwisho wake,no body cares!mtaona uchaguzi ukikaribia ahadi kemkem!Tz n kama choo,ukiwa na haja unakithamini,ukimaliza haja zako,ndipo unaponusa harufu mbaya ya choo!
 
Kazi kweli kweli hili panga la kuimalizia ccm lina nolewa pande zte mbli hahahhahahah
 
imekuwa ni jambo la kawaida (tangu early 2000's) waliopo madarakani na wenye jukumu la kusimamia uwajibikaji (accountability) kutokuwa makini na majukumu yao. hii inazidi kulemaza na kuwafanya wahusika (in this case walimu) kutokufanya majukumu yao ipasavyo kwa sababu zinazoletwa na irresponsibility kwa ngazi zote husika.
mwalimu anadai maboresho ya ajira yake, ili apate motivation ya kufundisha, mazingira pia hayana mvuto kabisa achilia mbali huduma mbadala na ambatanishi anazostahili mtumishi huyu.... lakini cha kustaajabisha hathaminiwi mchango wake, iwapo leo hii walimu wameamua kufanya hivyo walivyofanya, wahudumu wengine wa sector na nyanja zingine pia wakiamua nao kuacha kuongea kisha wakatenda "sivyo-ndivyo" ....miaka kadhaa ijayo effect yake itakuwa catastrophic.
..you can force a donkey to the river but you can not force it to drink water.... serikali itawalazimisha wataalamu wa sector mbalimbali kwenda kazini, lakini haitaweza kuwalazimisha kufanya kazi, si walimu pekee, siku wajeda na askari nao wataibuka na lao, madaktari tuliona ilivyokuwa ( lile I think ni trailer, picha kamili halikuanza). waliopo kwenye ngazi za kufanya maamuzi wasifikirie umbali wa pua zao tu, waangalie tatizo wanalolitengeneza kwa kizazi hiki na kijacho.
 
Karl max aliwai kusema "workers of the world you have to unite there is nothing to loss but your own chains" swali je walimu wote wanaijua dhana hii au ndo yale ya mukoba na yule mjaluo kupayuka payuka kwenye vyombo vya habari bila vitendo mi naona CWT ivunjwe then waandae katiba yao mpya coz most of top leaders ni magamba na usalama wa taifa kwa kufanya ivo uenda mkapunguza gepu tazameni wenzenu wakenya wamethubutu wameweza na wanasonga mbele, mnakuwa km ludism waliokua wanaaribu mashine wakijua ndo adui wao kumbe hamna AMKENI MBADILIKE HUENDA MKAWASHAWISHI WATU WENGINE KUSOMA EDUCATION NI HAYO TU

simwamini kiongozi yeyote wa cwt kama ulivyosema wote magamba ila walimu wameamua watatuua hawa. watoto wao hawasomi huku. ebu tufanye sensa ya watoto wa viongozi wanasoma wapi,
 
Nchi nyingine walimu wanakufa kwa ajili ya wanafunzi wao, jinsi wanavyowapenda watoto/wanafunzi wao. Lakini bongo mwalimu ndio anaweza hata kuwamaliza hao wanafunzi, jinsi anavyowachukia. Yaani kosa la serikali, hasira zinamaliziwa wanafunzi. Hao viongozi serikalini watoto wao wako shule za nje au kwenye private schools. Nyie watoto wenu wa walala hoi ndio wanaenda kwenye hizo hizo shule. Wala hamuikomoi serikali, bali watoto wasio na hatia. Kwa nini unadhani serikali haitekelezi issue zenu, sababu haziwaumi/wahusu. Watoto wao hawa-attend hizo shule....So saaaad. Walimu muwe na moyo jamani na huruma kwa hawa viumbe wadogo wasio na hatia.
 
"Cutting off your nose to spite your face."

Walimu hawajui this is at our own disadvantage, On the longterm The likes of Kikwete have less to loose than us. Majority of these students are from poor tanzanians and middle income. Watoto wetu wataendelea kuwa dumb watoto wao wataendelea kututawala.

So overall its very naive and disappointing for teachers to celebrate kufeli kwa wanafunzi kama kuwakomoa serikali. We are the ones to loose. Tena bigtym
 
Hiii sasa ni hatari kubwa kabisa. Sasa hapo wanaikomoa serikali au wanawakomoa watoto wa walalahoi? Kwa hili siwaungi mkono walimu hata kidogo kwani sasa wamedhamiria kutoa elimu ya kichina kwa vijana wetu.
 
Nchi nyingine walimu wanakufa kwa ajili ya wanafunzi wao, jinsi wanavyowapenda watoto/wanafunzi wao. Lakini bongo mwalimu ndio anaweza hata kuwamaliza hao wanafunzi, jinsi anavyowachukia. Yaani kosa la serikali, hasira zinamaliziwa wanafunzi. Hao viongozi serikalini watoto wao wako shule za nje au kwenye private schools. Nyie watoto wenu wa walala hoi ndio wanaenda kwenye hizo hizo shule. Wala hamuikomoi serikali, bali watoto wasio na hatia. Kwa nini unadhani serikali haitekelezi issue zenu, sababu haziwaumi/wahusu. Watoto wao hawa-attend hizo shule....So saaaad. Walimu muwe na moyo jamani na huruma kwa hawa viumbe wadogo wasio na hatia.

Miss-Thang, nadhani utakuwa unakosea..ni nchi gani Mwalimu tuko tayari kufa kwa ajili ya mwanafunzi wake?Utalinganisha mazingira ya KAZI, malipo ,na mengineyo katika nchi hiyo/hizo na Tanzania?
Kumbuka hapa unaongelea zile nchi ambazo, watu wenye ufaulu mkubwa huenda katika Taaluma(Profession) Ualimu ikiwa moja wapo.

Ni wanafunzi wangapi wenye ufaulu mzuri wanaenda Ualimu(hasa hawa wa miaka ya hivi karibuni)? Unadhani ni kwa nini, hawaendi?
Taaluma ya ualimu leo hii imekuwa chaguo(option) la mwiaho la kila mwanafunzi, tena miaka ya hivi karibuni hata wale wasio na ufaulu wanashauriwa kwenda huko...utasikia, "amefeli?.."ee, labda ajaribu teaching, watamchukua tu"

Dharau hii katika taaluma, katika jamii,na kwa Serikali(kutotimiza wajibu wao) inaeakatisha tamaa walimu. Hata wao ni binadamu, wanachoka(they have their limits, personal limits).Na ni katika hatua hii ikifika, ndipo binadamu hufanya chochote kile, hata kama ni mnyonge kwa kiasi gani.

Mkataba, haukuwa wao na watoto wa shule, ilikuwa wao(walimu) na mwajiri(Serikali, kupitia wizara) hivyo hali inapokuwa mbaya, Serikali inapaswa kumwajibisha mwajiriwa(Walimu).Lakini hii ni ngumu pale unapokuwa unafanya humjali/kumpuuza/kutomthamini mwajiriwa(walimu).
 
Back
Top Bottom