Jolebatawi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 549
- 230
""HAIJAWAHI KUTOKEA!SERIKALI IMEAMUA KUTUMIA MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA KUFANYA SELECTION.
JE, HUKO NI KUTATUA TATIZO AU KUENDELEZA UDHAIFU??JE,UNAWEZA KUTATUA TATIZO KWA KUFICHA UKWELI???WANACHAKACHUA HADI WANAFUNZI WENYE ALAMA 70 WANACHUKULIWA ILI KUINGIA KIDATO CHA KWANZA.BIG UP KWA WALIMU HAKIKA TUKIAMUA TUNAWEZA NA MWAKANI WEMBE NI HUO HUO HADI WATUONGEZEE MSHAHARA.TUMA KWA WALIMU 10.MSHIKAMANO DAIMA!!""mwisho wa kunukuu
My Take::::Bila mjadala wa kitaifa kuhusu mustakabali wa elimu,elimu yetu itayumba na hivyo taifa litaingia kwenye wakati mgumu kimaendeleo.Tuwasikilize hawa walimu kuwakwepa haitatusaidia,wao wana mbinu nyingi za kutukomoa sisi wazazi kama tutawapuuza hawa walimu.
Nawasilisha
JE, HUKO NI KUTATUA TATIZO AU KUENDELEZA UDHAIFU??JE,UNAWEZA KUTATUA TATIZO KWA KUFICHA UKWELI???WANACHAKACHUA HADI WANAFUNZI WENYE ALAMA 70 WANACHUKULIWA ILI KUINGIA KIDATO CHA KWANZA.BIG UP KWA WALIMU HAKIKA TUKIAMUA TUNAWEZA NA MWAKANI WEMBE NI HUO HUO HADI WATUONGEZEE MSHAHARA.TUMA KWA WALIMU 10.MSHIKAMANO DAIMA!!""mwisho wa kunukuu
My Take::::Bila mjadala wa kitaifa kuhusu mustakabali wa elimu,elimu yetu itayumba na hivyo taifa litaingia kwenye wakati mgumu kimaendeleo.Tuwasikilize hawa walimu kuwakwepa haitatusaidia,wao wana mbinu nyingi za kutukomoa sisi wazazi kama tutawapuuza hawa walimu.
Nawasilisha