mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,842
Bila Shaka wako sahihi.
Maana kwa Imani ya wakristo yesu Ni MUNGU au mwana wa MUNGU.
Sasa muislam unaposheherekea hyo sikukuu inamaanisha unakubaliana na ITIKADI yao.
Maana kwa Imani ya wakristo yesu Ni MUNGU au mwana wa MUNGU.
Sasa muislam unaposheherekea hyo sikukuu inamaanisha unakubaliana na ITIKADI yao.
Nimeona maustadhi wamemnanga sana sana huko.