Meremeta & TANGOLD Revealed!

Asked why the State entered into partnership with an offshore company, the Minister for Energy and Minerals, Mr William Ngeleja, said: The Government was n't aware until mid last year after the company went bankrupt.


...this guy is total idiot!

Hapa ndipo utaelewa Tanzania inaongozwa na watu wa namna gani. Hivi kuna sababu kweli ya kuamini jibu kama hili? Yaani kweli Tanzania na serikali yake haikujua kinachoendelea hadi mwaka jana?

Kwanza wale waliobeza alichosema Dr Slaa wamejificha wapi sasa. Kila kitu alichosema sasa kinakuwa kweli. Huyu mzee wa vimada (Sitta) aliikataa hoja ya Slaa kuwa ni ya uzushi mbona bado ni spika wa bunge?
 
serikali ya JK imejaa wahuni watupu, anajibu kuhuni namna hiyo ili Watanzania waelewe vipi Uzembe, Ujinga au nini cha serikali ambacho kimeitia serikali hasara kubwa namna hiyo
 
Asked why the State entered into partnership with an offshore company, the Minister for Energy and Minerals, Mr William Ngeleja, said: The Government was n't aware until mid last year after the company went bankrupt.


...this guy is total idiot!

Si Idiot tu, kwa ujumla Huu ni Usenge.
 
Nakumbuka jibu la Kikwete alipoulizwa swali, kwanini Tanzania inaendelea kuwa masikini licha ya kuzalisha dhahabu (third producer in Africa), kuwa na wawekezaji katika sekta mbalimbali, nk akajibu SIJUI.
 
Umenichekesha sana Nziku, eti Mkapa alisema "hajui" kwa nini Tanzania ni masikini wakati tuna resouces kibao!!!!
Very funy, but now they agetting into my head, it is now too much, too much!!!!
As we can all stand in front line of the war, we have to support in every mean those who have risked it all to be in frontline.
Mimi naogopa CCM itakaposambaratika, mafisadi watakuwa pande zote mbili na itabidi tuchague kundi moja au jingine la mafisadi, tutakuwa kama Kenya tu!
 
yaani ungehisabu pesa zinazoliwa kifisadi tz ...tungekuwa tushakuwa dubai ya pili sasa.
nchi ina pesa kufuru ya mungu, lakini viongizi hakuna hata mmoja mwenye kupenda nchi yake.
how can somebody take billions from people who get less than a dollar per day?
 
Nakumbuka jibu la Kikwete alipoulizwa swali, kwanini Tanzania inaendelea kuwa masikini licha ya kuzalisha dhahabu (third producer in Africa), kuwa na wawekezaji katika sekta mbalimbali, nk akajibu SIJUI.

Mimi pia nilisikia habari hizi.
Leo asubihi nilikuwa naitafuta hiyo statement kwenye net ila sijafanikiwa, ningependa sana kuona hiyo quote ya Mr. President.

Mimi naogopa CCM itakaposambaratika, mafisadi watakuwa pande zote mbili na itabidi tuchague kundi moja au jingine la mafisadi, tutakuwa kama Kenya tu!

Wala usiwe na shaka; hata kwa dakika moja usidhani kwamba bila CCM mambo yatakwenda kombo.
Kwa mawazo yangu, ni ishara mbaya chama cha siasa kugawanyika kwa sababu za ovyo-ovyo kama ubinafsi, ukabila nk. Ila kwa mambo ya msingi kama hili sakata la ufisadi, mbona hilo litakuwa jambo bora kabisa!
 
Mimi pia nilisikia habari hizi.
Leo asubihi nilikuwa naitafuta hiyo statement kwenye net ila sijafanikiwa, ningependa sana kuona hiyo quote ya Mr. President.

This is probably it; mentioned [ame="https://www.jamiiforums.com/showpost.php?p=87227&postcount=197"]here [/ame]too.
 
Meremeta Gold: Security, intelligence units all on red alert

-Revealed: ’Quiet’ investigations in progress

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

The mysterious dealings of the now-defunct Meremeta Gold Mine Company Limited have become the subject of collective curiosity from a number of top national security and intelligence departments long after its reported liquidation in 2005, it has now come to light.

Impeccable sources have informed THISDAY that investigators from the Tanzania Intelligence and Security Services (TISS), the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB), and the Tanzania Police Force’s own criminal investigations department (CID) have each been snooping around Meremeta company records filed at the Business Registration and Licensing Authority (BRELA) offices in Dar es Salaam for the past two years or so.

The sources said the investigators appeared mainly interested in gaining access to the company’s financial statements and its list of shareholders.

It is understood that although the parallel investigations by all three state agencies are believed to have gathered a significant amount of evidence on the UK-registered company, there has been no status report so far.

It also remains unclear if TISS, PCCB and the police CID were and still are even working together at all, including coordination in gathering, compiling and analysing the evidence on Meremeta.

THISDAY has now learnt that after being formed in the UK, a local branch of the Meremeta company was registered in Tanzania in 1997 and given certificate of compliance number 32755.

At the time, according to THISDAY latest findings, the listed company directors were Russel John Schwartz (a South African national), Wilfred Nyachia (then a senior Treasury official), Zulu Lyana (a Tanzanian civil servant) and Gerald Augustine Mrudi (also a Tanzanian national).

According to the government, Meremeta Gold was originally registered as a joint venture company owned on a 50-50 basis by the Tanzanian government and a private South African company, Trinnex (Pty) Limited.

At least one senior police detective, identified as Senior Superintendent of Police (SSP) Ernest Sakawa, is reported to have visited the BRELA offices and asked to see the Meremeta company files as far back as May 2006.

And again in 2007, the PCCB is understood to have sent one of its own top sleuths, Dunia Kaongo, to gather information about Meremeta from BRELA.

Kaongo is now the PCCB director of investigations, a post he took over from Dr Edward Hoseah after the latter’s promotion to director general of the government’s anti-graft watchdog.

Insiders have also told THISDAY that the police CID’s own quiet probe took it all the way to the Buhemba gold mine in Mara region, which was run by the Meremeta company but has since also been closed down somewhat unceremoniously.

THISDAY investigations have already established that as part of the Meremeta bankruptcy process, former Bank of Tanzania governor Daudi Ballali authorised a questionable payment of over $118m (approx. 150bn/-) to South Africa’s Nedbank to liquidate a loan issued to the outgoing company.

Following the liquidation of Meremeta, a new company was formed under the name of TANGOLD Limited, which then received an additional $13.34m (approx. 17bn/-) paid by BoT into its bank account at the National Bank of Commerce Limited Corporate Branch in Dar es Salaam.

Former energy and minerals minister Nazir Karamagi is on record as announcing in parliament that TANGOLD was a wholly-owned Tanzania government company, and that all assets and liabilities of the Meremeta company - including the Buhemba gold mine in Mara region � had been transferred to TANGOLD.

However, THISDAY investigations have also verified that TANGOLD Limited was in fact registered as an offshore company in Port Louis, Mauritius in April 2005 - albeit with at least five top government officials listed as directors.

They included Ballali and the permanent secretary in the Ministry of Finance, Gray Mgonja, who has continued in the same position todate despite a whole government changeover in the interim.

Others were the then Attorney-General and later senior Cabinet minister, Andrew Chenge; the then permanent secretary in the Ministry of Energy and Minerals, Patrick Rutabanzibwa; and the then permanent secretary in the Ministry of Livestock Development, Vincent Mrisho.

Rutabanzibwa and Mrisho are now permanent secretaries in the Ministry of Water and the Prime Minister’s Office, respectively. As for Chenge, he was recently forced to resign from his latest government position (as senior Cabinet minister) after being linked to the 70bn/- military radar scandal dating back from his days as AG.

It has also been verified that although TANGOLD is supposedly a government-owned company, the listed directors (shareholders) are permitted to transfer all or part of their shares to their next of kin.

Furthermore, the Ministry of Finance currently does not list TANGOLD among companies owned by the Tanzanian government.
 

Mali za Taifa zinapogeuka kuwa mali binafsi, zinapoweza kurithishwa kwa watoto na vizazi vijavyo vya vigogo wachache huku taifa likibakia hohe hae.
 
Na hii ya KULIKONI ya LEO, nayo inazungumzia hayo hayo, kazi kwenu. Nani wa 'kumfunga paka kengele?'

Source: Kulikoni, Na.330, Jumatano Mei 14, 2008
 
Hiki kigugumizi kinatoka na TU na kuwa, wote wenye usemi katika hili walikuwa wanahabari na kinachoendelea, sasa watafanyaje masikini? ni kusubiri tu upepo mbaya upite.

Hata kama ni wewe, umefanya mwenyewe, au mwanao au kaka yako, anatafutwa na polisi utatoka kifua mbele? ujitoe ukamatwe, au umtoe mwanao ua nduguyo wa kufa na kuzikana? si rahisi jamani, inahitajika nguvu ya nje!!!

JF NDIO NGUVU, WAPINZANI NDIO NGUVU, MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI, NCHI MARAFIKI,
inabidi tuwe na msukumo mkubwa hadi wa-crumble. There is no way watajiachia wenyewe tu kukamatwa au kukamatana.
 
vitu kama hivi ndo unakuta upande mmoja wa jamii ya tanzania unataka kujtenga! kwa sababu hawaoni faida ya kuwa na serikali iliyopo!
 
Haya ndo makampuni wanayotumia kuamisha hazina za watanzania kuingiza kwenye account binafsi na kuyafilisi.
 
watanzania walio wengi wanaugua gonjwa liitwalo MNYONG'ONYO ambalo linawafanya kuwa mashabiki wa mafisadi badala ya kuwachukulia hatua.

Ninaibeza kauli ya pindwa kuwa chonde chonde kuwa ufisadi usihusishwe na chama, naomba twende wote ktk physics hii...:- Kiongozi wa kiwango cha waziri ni matokeo ya sera nzuri na makuzi ya kiuongozi ndani ya CCM, na kila jema alifanyalo chama kinachukua sifa kwa jema hilo, na utendaji wake woote hutawaliwa na miiko na taratibu za kichma, na mkiona waziri anahulka za kifisadi bsi mfahamu kuwa hayo pia ni matokeo ya makuzi ndani ya chama, Siamini kuwa eti waziri ashiriki ufisadi akisha pata uwaziri tu, bali tabia hii imejengwa na siasa za kimakundi ndani ya ccm ambapo ili uweze kupigiwa kura za maoni ni shurti ujifisadishe ndipo utaonwa, na kingine ni kuwa kama kiongozi ameshindwa ni chama kimeshindwa, haiwezeani eti timu ya taifa ifungwe halafu tuseme kufungwa huko nchi haihusiki wala haiguswi na kipigo hicho bali kufungwa huko ni matokeo ya maandalizi duni ya kuokoteza yasiyo na chembe ya utashi chanya.

Next time ndugu yangu Pinda, jitahidi kutenda zaidi ya kunena maana wewe si mwanasiasa na usijaribu kuwa mwanasiasa au la, white head atakucheka.
 
Sheria zipo za kuwashughulikia hawa mafisadi lakini waliopewa hiyo dhamana hawataki kufanya hivyo.
 
Sheria zipo za kuwashughulikia hawa mafisadi lakini waliopewa hiyo dhamana hawataki kufanya hivyo.

Nakumbuka MKuu Rev. Kishoka alisha maliza hili tatizo hatuna watawala makini.

Itatakiwa siku tukiwapata kazi ianzie hapo hapo wote watarudisha tu. na hayo makampuni hayahitaji hata masaa 6 kujua wamiliki wake.
 
TANGOLD, Meremeta back in the spotlight:As Bomani team seeks deeper probe into whole affair

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

THE presidential mining sector review committee has called for an official investigation into the supposedly government-owned TANGOLD Limited company, whose controversial list of shareholders includes former Cabinet minister Andrew Chenge and the reportedly deceased ex-governor of the Bank of Tanzania (BoT), Daudi Ballali.

In its report submitted to President Jakaya Kikwete last weekend after more than six months of research, the committee chaired by retired Judge Mark Bomani has raised more questions on a series of payments amounting to more than 158bn/-, made by BoT to both TANGOLD and its apparent forerunner company Meremeta Gold.

As such, included in the report’s recommendations is a call for a thorough investigation into both the Meremeta and TANGOLD companies, encompassing their formation and (in Meremeta’s case) liquidation, the extent of government ownership interest in them, and ’’the legality of the payment of $132m by the BoT to South Africa’s Nedbank.’’

According to the report, there are several discrepancies in the financial records of both companies behind the Buhemba Gold Mine in Mara Region.

It notes that: ’’Based on the (BoT) governor’s report, the central bank paid Nedbank a total of $132m, equivalent to 158bn/-, with regards to the Meremeta company. However, other reports suggest that the loan amount to be paid was just $104m.’’

’’The committee was unable to get detailed explanations on the establishment, ownership and liquidation of the Meremeta company, and the eventual registration of TANGOLD outside the country,’’ the report states.

It is understood that the formation of Meremeta Gold company had the strong backing of former president Benjamin Mkapa, whose government (and State House in particular) was seen to aggressively promote the company’s gold mining activities in the Tembo area of Buhemba in Mara Region.

On the other hand, it has been established that TANGOLD - which was the beneficiary of a highly-questionable $13.34m (approx. 17bn/-) payment from the BoT - was registered as an offshore company in Port Louis, Mauritius in April 2005, months before the Mkapa administration wound up its tenure.

At least five top government functionaries were listed as TANGOLD company directors at the time of its registration, these included the then BoT governor Ballali, and the then attorney general Chenge.

Others were the then permanent secretary in the Ministry of Finance, Gray Mgonja (who still retains the same position in the current government), the then permanent secretary in the Ministry of Energy and Minerals, Patrick Rutabanzibwa, and the then permanent secretary in the Ministry of Livestock Development, Vincent Mrisho.

Rutabanzibwa and Mrisho are now permanent secretaries in the Ministry of Water and the Prime Minister’s Office, respectively, while Chenge later relinquished the AG post, entered politics, won a parliamentary seat and was included in the fourth phase government of President Jakaya Kikwete, first as Minister of East African Cooperation and later as Minister for Infrastructure Development.

He was, however, forced to resign from his ministerial position last month, after being implicated in the 70bn/- military radar scandal. As for Ballali, he was sacked from the central bank governorship by President Kikwete earlier this year, and is now reportedly deceased.

This means that of the five registered company directors, only Mgonja has remained in exactly the same position as at the time of registration in April 2005 (just over three years ago).

The BoT payment to TANGOLD followed another payment amounting to over $118m (approx. 150bn/-), ostensibly to liquidate a loan issued to the Meremeta Gold company as part of its winding-up process.

It is now understood that Meremeta Gold was in fact a joint venture project owned on a 50-50 basis by the Tanzanian government and a private South African firm going by the name of Trinnex (Pty) Limited.

Further mystery surrounds an announcement made in parliament by former energy and minerals minister Nazir Karamagi, to the effect that all assets and liabilities of Meremeta Gold - including the Buhemba Gold Mine � were transferred to TANGOLD Limited as ’’a new company wholly-owned by the Tanzanian government.’’

However, it has since transpired that the TANGOLD Limited company does not appear on the list of government-owned companies recorded with the Treasury registrar at the Ministry of Finance and Economic Affairs.

It has furthermore been established that the official constitution of this supposedly government-owned company has provisions that give its five registered directors - namely Ballali, Chenge, Mgonja, Rutabanzibwa and Mrisho - the right to transfer their shares to family members.

According to a section in the TANGOLD Limited constitution directly pertaining to family transactions:’’Any share may be transferred by a shareholder to, or to trustees for, the spouse, father, mother, child, grandchild, son-in-law or daughter-in-law of that shareholder; and any share of a deceased shareholder may be transferred by his executors or administrators to the spouse, father, mother, child, grandchild, son-in-law or daughter-in-law of the deceased shareholder.’’

President Kikwete is understood to have ordered the incumbent Minister for Energy and Minerals, William Ngeleja, to study the Bomani committee’s report findings and submit his own recommendations to State House for further action.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…