Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Tatizo ni nini kijana mwenzangu?

Ni kheri wageuzwe misukule na wafanikiwe kuliko kuwa akili na chuki za kimaskini kama we we.
Umelishwa kinyama ww ndio sababu huwezi ona zaidi ya urefu wa pua yako.

Unalidhalilisha jina businessman dogo..Jiulize leo hii USA ni percentage ya youth wangapi wanaofanya icho mnachofanya au nyie ndio mna awarenes kuwazid wao..ww unahitaji huruma na maombi..
 
Aisee sipendi matapeli!I really hate them with passion!

F**ck'em!

Ukiona mtu anaanza na mbwembwe za "nimesoma vitabu 86...."Majitu yenye grandiosity namna hii hua ni magonjwa ya schizophrenia.

Acha utapeli na ukatubu!

Matapeli ni matapeli tu. Hata yaongee buzz words namna gani!

Ontario you are a pretender.You are trying hard to sound intelligent but you have been debunked to be a fraud in and out!

Majizi bwana

 





The world belongs to people who read.
 
You made my day mzee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…