Picha ungeweka mkuu.Wakuu hii gari haina mwezi TZ tayari limenyopa hapa home na hela sina. Nafanyaje?
Niku Vue basiWakuu hii gari haina mwezi TZ tayari limenyopa hapa home na hela sina. Nafanyaje?
Wakati tunakushauri ununue Toyota si ulisema unataka kuwa 'unique'?Haya sasa kiko wapi?😃Wakuu hii gari haina mwezi TZ tayari limenyopa hapa home na hela sina. Nafanyaje?
NajutaWakati tunakushauri ununue Toyota si ulisema unataka kuwa 'unique'?Haya sasa kiko wapi?😃
Hawa wengine wanatulisha NYWELE ( uongo)Kwisha kazi😂😂
Mwambie atupigie picha Kwanza hapa jukwaani kuna watu wanazingua Tu watu.... MTU ambaye yupo serious hawezi kuleta habari nusunusu kama hiyoKunyopa ndo nini?
Kama imezingua na hela hamna si unaipaki tu mkuu, unarekebisha ukipata hela.Wakuu hii gari haina mwezi TZ tayari limenyopa mataa kibao daah hapa home na hela sina. Nafanyaje?
Ndio Mkuu Jana nimetoka na betri na kuweka tofali ili tairi zisiharibike maana sioni pa kupata hela ya kucheza hivi karibuniKama imezingua na hela hamna si unaipaki tu mkuu, unarekebisha ukipata hela.
Mercedes Hilo hata alisema auze Ni ishuStarehe gharama boss pambana tu kwa kuwa hata wakati unaitafuta hatukukusaidia