Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Waje nawakaribisha,kuanzia next month nipo free.
😂😂😂😂 mchuchu wao wanajua umewaogopa huwawezi wamekukomesha, na soon watakurudia tena kukusimanga..!!
Nimeshangaa kweli nkamu wee wa kukaa kimya??
Wanyaki hatuna nidhamu ya uoga bana, kwanza tuna viburi grade one hakunaga tz nzima 😜
Nilikuwa na hekaheka za msiba
Ndugu yetu niliyekuwa nakesha naye hospital alikata kamba..lile wenge.

Mambo yakawa mengi,muda mchache.
 
Tunaogopa mimi huyu namuogopa nani jf
Ah kuna siku Lamomy aliandika kitu nikacheka sbb kilinichekesha sana. So nikamkwoti La momy. Kumbe aliziona 🤣🤣

Usiku naona vaga jipya
Hee kucheck,, kauli zinasema tunaogopa 🤣🤣 nikasema hiiiiihiii,, nile nishibe niwe nakuja jf stress free
 
Back
Top Bottom