Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,223
Toa umbea hapa 😂🤣🤣😂😂😂😂😂
Sijaelewa ndugu mjumbe
Fafanua tuone
Toa umbea hapa 😂🤣🤣😂😂😂😂😂
Sijaelewa ndugu mjumbe
Fafanua tuone
Sasa unabaki kushangaa
Una shida gani ingine na makabichi uko nayo unayapasha msichana![]()


Nacheka mimiToa umbea hapa 😂🤣🤣
😂😂😂😂 ndio vzuri sasaIla umbea kipaji jamani🤣
Akiyanani naona sielewi
Wacha bandama li enjoyyyNacheka mimi
🤣🤣🤣🤣 Jamani mimi navimba najua nyie mpooo ndugu zanguu....ule Uzi Kuna mtu alinifanya nishindwe kunyamaza bwana🤣🤣🤣Na mkwanja ganiiivicoba vinatusaidia halafu nilimuona shangazi Joannah sehemu akiii siku akipigwa sitamgombelezea
😂😂😂😂 aiseee!! Halafu kuanzia pale ndio niliona huu ufala sasa, tunaanza kupandana vichwaniLameckagustino 🤣🤣🤣
Lucas,Lucas,Lucas,Luka,Luka,Luka🤓
Kwakweli kuna muda unapotezea, mi naamini mtu aliyejipanga kugombana haji na id nyingine..!! Mi nikiona jungu nimepigwa linanihusu namkwoti hapo hapo mwenzangu 😂😂😂😂Huku tuhangaike namna gani tunamrudisha kwake Songwe huko marehemu maana alitufia Dar.
Huku nije tena kuhangaika na watu waliokosa kazi tena hata siwajui
Hawaji direct kishujaa,wanakuja na id ngeni.
Hivi ni serious? Nilikuta notification kanifollow..😂😂😂😂 aiseee!! Halafu kuanzia pale ndio niliona huu ufala sasa, tunaanza kupandana vichwani
Jamani mimi navimba najua nyie mpooo ndugu zanguu....ule Uzi Kuna mtu alinifanya nishindwe kunyamaza bwana
![]()



Kwahiyo dada unavimba unatutegemea sisi eenh yaani nilipita nikacheka sana
Siamini macho yangu mie jaman 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Naringaaa najua Nina watu kama yanga!!!!!Kuna shoga yako ananivurugaga kichwa ndio maana nikamchagua Depal😂😂😂😂 wapi uko??? Yule bana siku hizi kachachuka mwenyewe namshangaa!!
Anatafuta wamchachue niingilie nipewe ban hana lolote..!! Ananijua kuvumilia siwezi nikiona anagombana na mtu nanunua ugomvi
🤣🤣🤣🤣Kimsingi mi mabomu siyawezii,ila najua ukiwepo Shunie Lamomy Depal Missy Gf nikimuongeza na da mau Unique Flower jamani mwanafamilia mwenzenu nashambuliwa mtashindwa kunisaidia kweli?Kwahiyo dada unavimba unatutegemea sisi eenh yaani nilipita nikacheka sana
🤣🤣🤣🤣🤣Yesu akutunzeeeeKesi inanunuliwa bila discount 🤣🤣🤣