Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
🤣🤣🤣🤣🤣 sijui nikupigeHuyo atakuwa wa bush mwenzetu anayekaa store
Amezoea kuona mikoba mnadani
🤣🤣🤣🤣🤣 sijui nikupigeHuyo atakuwa wa bush mwenzetu anayekaa store
Amezoea kuona mikoba mnadani
Yako je?woiuko mcute sana
Niliona wapi 🤣🤣🤣View attachment 2927057Hii Depal aliona😂😂😂.
😂😂😂😂 ww mzuri kweli sis maua yako upeweIla mdogo wangu![]()
Uliona na ukacomment “superb” bisha😂😂😂😂Niliona wapi 🤣🤣🤣
Ujue me status naangalia usiku kwa usiku
Sasa ukifuta b4 usiku nakuwa sijaona
Ila niliona cropped ya dp 😍😍😍
😂😂😂😂 aiseee!!Najuajeee mie naletewa screenshot tu
Ah hapo sawa. Dada mchambaji, ukachamba pole pole mpk mtu akakimbiaHiyo nilishawahi post makapuku ile siku nilivyokiamsha labda alichukua uko
Ngoja nikasome convoUliona na ukacomment “superb” bisha😂😂😂😂
Wii ujue mimi sio mrefu sana. Unaona hapa

halafu mtupe shikamoo sisi mabibi zenuWee twiga bana wifi yangu, ndiomana bro haelewi anatamani akufiche wasikuone fisi maji 😂😂😂😂Wii ujue mimi sio mrefu sana😂😂😂. Unaona hapa
Ujue nikikuonaga nakumbuka siku ile usiku, yaani sijui ingekuwaje aisee kama na wewe ungekuwa umelala🤣🤣🤣🤣🤣. Nilikutwa na jambo zito!Ngoja nikasome convo
Maana sifutagii 🤣🤣🤣🤣
Ah hapo sawa. Dada mchambaji, ukachamba pole pole mpk mtu akakimbia
halafu ukiwa na mashauzi usikae store kila kitu unakiona nyieee kwaheriniiii Depal ndio kanileta huku🤣🤣🤣 basi Ngoja nikubali tuWee twiga bana wifi yangu, ndiomana bro haelewi anatamani akufiche wasikuone fisi maji 😂😂😂😂
Hebu irudiweUliona na ukacomment “superb” bisha😂😂😂😂
😂😂😂😂 Sema ss hivi ushakomaa wala huna time, mana kuna jungu moja ulipigwa ila ukaja ukatulia km sio weweVijembe nipigwe mara ngapi?
Labda kama vipya vinakuja
Hebu irudiwe
Watu wa itel tulishapitwa hapa
Tunateseka sana jamani



We nae, unaumwa ndio maana hauko speed😂😂😂😂Hebu irudiwe
Watu wa itel tulishapitwa hapa
Tunateseka sana jamani
Sema ss hivi ushakomaa wala huna time, mana kuna jungu moja ulipigwa ila ukaja ukatulia km sio wewe

ila Anne vikimpanda na yeyeHata mimi nilitegemea angejibu ila akakausha kimya🤣🤣🤣😂😂😂😂 Sema ss hivi ushakomaa wala huna time, mana kuna jungu moja ulipigwa ila ukaja ukatulia km sio wewe