Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

😂😂😂😂 binti whaaaaaaaaaatttt!!!!!
Aiseee!! Kuna mmoja kashaharibu huko kaenda na id mpya halafu kajiselfie na picha yake ya zamani nimecheka…. Wananzengo wamemshtukia 😂😂😂😂
Hivi kuna watu kumbe hawawezi kuishi bila uzi wa selfika?? Mi wamenipiga ban ya kuchangia ila manjegeka nayaona vzr….
Not a big deal as that 😆
 
kwahiyo nina uniqueness ya aina yake @raraa reree🤣 ? Maana ile picha nilipiga siku ile ile. Haikuwa from gallery.

Ban ambalo hata halinihusu. Kugombaba mgombane nyie, ila ban mpk wapambe 😭
Mguu umekuponza 😂😂😂
Kuna watu wenye nongwa naona wamepeleka list ambao hatutakiwi kuwepo mle.!!
Nyie wenyewe mligombana siku ile ukafungwa, itakuwa wameangalia chain ya wakorofi wote ndio hivyo…. Tumelala yoooo!! 🤣🤣🤣🤣
 
Mguu umekuponza 😂😂😂
Kuna watu wenye nongwa naona wamepeleka list ambao hatutakiwi kuwepo mle.!!
Nyie wenyewe mligombana siku ile ukafungwa, itakuwa wameangalia chain ya wakorofi wote ndio hivyo…. Tumelala yoooo!! 🤣🤣🤣🤣
Na ban haina uplifted date,Maana yake ni foreva sijui. Atakuwa Sele amereport, maana wengine waliobaki wambea, vile vitu ndio vitu vyao. Hawawezi choma kijiji
 
Na ban haina uplifted date,Maana yake ni foreva sijui. Atakuwa Sele amereport, maana wengine waliobaki wambea, vile vitu ndio vitu vyao. Hawawezi choma kijiji
😂😂😂😂 Ww utakosa pesa ya matumizi ujue!! Unamuitaje mumeo Sele 🤣🤣🤣
Ila ule uzi hapana tuandamane mods waturudishe tupate burudani sie tupoteze mawazo ya madeni
 
😂😂😂😂 binti whaaaaaaaaaatttt!!!!!
Aiseee!! Kuna mmoja kashaharibu huko kaenda na id mpya halafu kajiselfie na picha yake ya zamani nimecheka…. Wananzengo wamemshtukia 😂😂😂😂
Hivi kuna watu kumbe hawawezi kuishi bila uzi wa selfika?? Mi wamenipiga ban ya kuchangia ila manjegeka nayaona vzr….
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uwiiiiii uwiiiii uwiiiiiiii uwiiiiiiiiiii
Weeeeh acha basi bina em subiri narudi badae kidg unipe umbea full fuliiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂 binti whaaaaaaaaaatttt!!!!!
Aiseee!! Kuna mmoja kashaharibu huko kaenda na id mpya halafu kajiselfie na picha yake ya zamani nimecheka…. Wananzengo wamemshtukia 😂😂😂😂
Hivi kuna watu kumbe hawawezi kuishi bila uzi wa selfika?? Mi wamenipiga ban ya kuchangia ila manjegeka nayaona vzr….
🤣🤣🤣🤣🙌🏿
 
🤣🤣🤣 ila we dada wewe🙌🏿 ....tuhekaheka unatupenda kweli🥴
😂😂😂😂 Mi nipo humu kufurahi tyuu!!
Ndiomana sina adui wa kudumu, naweza tukachambana baadae nikakukuta sehemu ina hekaheka umenichekesha nacheka vzr…!!
Sinaga bifu na fake id’s ambazo hata sijui zinafananaje 🤣🤣🤣🤣
Napenda hekaheka na umbea kuliko kula
 
😂😂😂😂 Mi nipo humu kufurahi tyuu!!
Ndiomana sina adui wa kudumu, naweza tukachambana baadae nikakukuta sehemu ina hekaheka umenichekesha nacheka vzr…!!
Sinaga bifu na fake id’s ambazo hata sijui zinafananaje 🤣🤣🤣🤣
Napenda hekaheka na umbea kuliko kula
Ule uzi unakufaa aisee,sema wanajisahau tu kujianika kilakitu kwako afu wanakutibua tena.Jitahidi kupuuzia baadhi ya vitu unavyosikia umesnitchiwa na marafiki....hapo utakuwa umewin Kabisa.....mwanzoni mie nilikuwa sikuelewi Kabisa lakini kupitia comments zako nikajua wewe ni mtu wa namna gani na uchukuliweje
 
Ule uzi unakufaa aisee,sema wanajisahau tu kujianika kilakitu kwako afu wanakutibua tena.Jitahidi kupuuzia baadhi ya vitu unavyosikia umesnitchiwa na marafiki....hapo utakuwa umewin Kabisa.....mwanzoni mie nilikuwa sikuelewi Kabisa lakini kupitia comments zako nikajua wewe ni mtu wa namna gani na uchukuliweje
Humu mi napachukulia sehemu ya kuburudika ila sio ndio unitibue nikuache wee nakula sahani moja na wewe!! 😂😂😂😂

Hivi humu kabisa nipate ugonjwa wa moyo kwa kusemwa na mtu ambaye hanijui zaidi ya maandishi yangu?? Mi ukinisnitch aiseee lazima nikushangaze niko hivo sikueki kiporo wala situnzi deni 🤣🤣🤣🤣
Kuna watu bila ya kuwakanda watakupanda kichwani
 
Back
Top Bottom