Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,950
Hiyo hapo Mayday namsaidia kukuwekea na mi naisikiliza kibarazani hapa 😂😂😂😂🤣🤣 wakati unanifuta niwekee na ka wimbo kokote ka Fally Ipupa nimalize nako kilio cha kwikwi
Hiyo hapo Mayday namsaidia kukuwekea na mi naisikiliza kibarazani hapa 😂😂😂😂🤣🤣 wakati unanifuta niwekee na ka wimbo kokote ka Fally Ipupa nimalize nako kilio cha kwikwi
wakati unanifuta niwekee na ka wimbo kokote ka Fally Ipupa nimalize nako kilio cha kwikwi

mdogo wangu ameshakuwekea mayday
Hiyo hapo Mayday namsaidia kukuwekea na mi naisikiliza kibarazani hapa![]()



😂😂😂nakuelewa huweziiii
Ww na antonnia ndio sababuNa mi nashangaa nimekuta notification ya ban, hata wasingejisumbua mods mana nilishaamua kuachana nao kitambo
Sema utapoa km mkojo wa ngedere, ule uzi ulitakiwa uchangamshwe uwe heya heya, hiya hiya full mparara![]()

Mabakuli kakufanyaje tena maana naskia ndio post ikapigwa banWacha watupe ban wabaki wenye uzi wao kina binti masozy.
Sie wengine wapambe nuksi tukae kando![]()
😂😂😂😂 Akhu na udugu wangu tulishamalizana yakaisha, huyo ni love na maba tatu mzukaWw na antonnia ndio sababu![]()
Yani wewe pilika huachi nishakuambukiza 😂😂😂Mabakuli kakufanyaje tena maana naskia ndio post ikapigwa ban
🥰😍😍😍😍😍😍😘😘😘😘😘
Zimeisha sasa ushachelewa, si unajua wabongo nyimbo moja biscuit 4 mpk ufikishe kusikiliza nyimbo 3 na habari imekwishaaaa..!!![]()
Asus 😍😍😍 tajiri LamomyHiyo hapo Mayday namsaidia kukuwekea na mi naisikiliza kibarazani hapa 😂😂😂😂
Niko poa mdogo angu, shida gani hiyo tena??da mkubwa uko poa? nashida na wew
Aaaa wapi PC milioni 2 hiyooo 😍 tajiri dada yangu Lamomy hapo bado na ile range Rover yako ya blue ninayo pishana nayo kule posta 😍😍😍Mpana ww kumbe ulikuwa una zoom jina la laptop yangu 😂😂😂😂
Utajiri nautoa wapi Chale njaa tupu sister ako hapa 🤣🤣🤣
😂😂😂 Umeanza na ww kunipamba sasa, hapo kwenye range sasa!! Mwenzio nadandia mwendokasi mpk wamenizoeaAaaa wapi PC milioni 2 hiyooo 😍 tajiri dada yangu Lamomy hapo bado na ile range Rover yako ya blue ninayo pishana nayo kule posta 😍😍😍
Tajiri Lamomy😂😂😂 Umeanza na ww kunipamba sasa, hapo kwenye range sasa!! Mwenzio nadandia mwendokasi mpk wamenizoea
Hiyo Asus X515 ya kawaida mbona wala usiogope
Ila wewe🤣🤣🤣. Mimi nilikuwa sijui chochoteWifi VAR yangu imekukamata 😂😂😂😂
Ila mecheka aiseee!! Hivi wamekupiga ban na ww??