MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,564
- 847
Watanzania huwa tuna roho ya kwa nini sana. Unakuta mtu ana uwezo kuliko wewe lakini ana kuonea wivu na kidogo unacho pata. Sasa huyo meneja ana sababu gani ya kuto waongezea hao wafanyakazi pesa kama maagizo yametoka kwa mmiliki mwenyewe? Mtu unajidai kuwa mbahili na pesa ambazo hata si zako? Pesa stahili kwa mwenzio?