Mengi yazidi kuibuka kuhusu Nyalandu

Mengi yazidi kuibuka kuhusu Nyalandu

Sidhani kama kuna alieongoza wizara ya maliasili pamoja na Nishati na Madini asiekua na kashfa! Hizo ndio wizara zilizokua na ufisadi wa hatari nchini.
 
Sidhani kama kuna alieongoza wizara ya maliasili pamoja na Nishati na Madini asiekua na kashfa! Hizo ndio wizara zilizokua na ufisadi wa hatari nchini.
Lakini ndio wizara zenye funika kombe mwanaharamu apite hii ndio chama cha Machafuko aka ccm
 
Ivi yule twiga aliyekatiwa visa na passport then akapewa VIP seat kwenye ndege mnamkumbuka???
Naomba mniambie atakapokuwa amerudishwa....................???

Mana ili ni jipu lililoivaa na linaitaji kutumbuliwa bila ganzi....???
 
Ivi yule twiga aliyekatiwa visa na passport then akapewa VIP seat kwenye ndege mnamkumbuka???
Naomba mniambie atakapokuwa amerudishwa....................???

Mana ili ni jipu lililoivaa na linaitaji kutumbuliwa bila ganzi....???
Ivi yule twiga aliyekatiwa visa na passport then akapewa VIP seat kwenye ndege mnamkumbuka???
Naomba mniambie atakapokuwa amerudishwa....................???

Mana ili ni jipu lililoivaa na linaitaji kutumbuliwa bila ganzi....???
Kabla ujaanza na mtoto anza na baba kwanza
 
Kinana alimwita Nyalandu mzururaji hadharani. Kumbe alikuwa bizi anajitengenezea kajipu kake


Alimwita mzurulaji kwavile alikuwa ameingilia maslahi yake kuhusiana na wanyama pori!! Kumbuka kuwa Lukuvi na Katibu wake mkuu chamani wana ushiriki wa karibu kuhusu nyala kutoka Ruaha game reserve iliyoko jimbo la uchaguzi la Lukuvi!!
 
Dah!!! hii nchi ya kipumabavu sana, atatoaje HATI ya Rais bila idhini ya Rais? ina maana kama hati inatolewa na Rais pekee, Nyalandu aliitoaje bila JK kuisaini? huu ni uozo wa JK tu!! yaani huyu JK ilitakiwa apigwe mawe hadharani
 
Back
Top Bottom