Mengi: Prof. Muhongo ni muongo


Kumbe ule msemo wa kuwa Luna wenye masikio lakini hawasikii Una mantiki....yaani huya kilaza Ana amino kuwa mengi Ana VIWANDA VYENYE UKUBWA Wa Mara tatu ya eneo la DSM!!!! Huo utakuwa n msiba wa taifa km kutakuwa na watu 10 tu wenye mawazo mgando km ya huyu zezeta.
 
Mengi ni wa kupuuzwa tu. Alikuwepo kwenye kongamano na alitoa mada. Kwanini hakujibu pale pale anasubiri akafiche na kurekebisha data kwanza. Mfu tu huyo hana mpya
Kuna watu mna chuki,na angekuwa chadema ndo angekupa urahisi wa kutukana zaidi mbaguzi wewe.
 
Acha uongo na uzushi!Alisema anamiliki vitalu vya gesi vyenye ukubwa sawa na mara tatu ya ukubwa wa mkoa wa Dar-es-salaam.

Kama kuna mtu mwingine ambae aliona kipindi kile tunaomba nae atoe maelezo bila kuchakachua ukweli.

Hakuna haja ya kubishana . Prof: Muhongo alitoa list wa watanzania wawekezaji wenye maeneo makubwa na akuseme wenye vitalu vya gesi. Kama mtu anaclip ya presentation ya Prof: Muhongo ingesaidia sana . Dr Mungi anaweweseka tu
 
Rostam aliyekuwa mweka hazina huko magambani?Irelevant.Nanasi na pera.
 
Mengi ameshindwa mjadala anakuja kuseeck public sympathy, ni wajinga wasiopenda kuumiza kichwa wataacha kumsikiliza geologist prof sos mhongo na kumsikiliza mengi na porojo zake.
Kwani kauli ya Muongo inahusiana vipi na geology?usikariri.
 

Mengi mwizi sana anatafta huruma ya watanzania baada ya prof.Muhongo kumzdi kete kwenye kongamano la uwekezaji ambalo mengi aliamini wanavyuo na waadhri watamuunga mkono tofauti na matarajio ya mengi prof.Muhongo akapata uungwaji mkono wa wananchi na wasomi nina ushaidi wa dhuluma za mengi kuptia migodi yake ya Kilimanjaro Mining Arusha mererani ana vtalu vngi haviendelezi anageuka dalali Huyu Mengi aache kutafta huruma za wananchi kashndwa nchi kavu anataka vtalu vya gesi adalilie aongeze kwanza mshahara wa wafanyakazi wake anaowanyonya kwa kuwalpa mishahara mibovu na kuwageuza cheap labour wasio na mikataba dat y anakmbiwa na staff..
 
Itabidi nikajifunze vizuri hezabu za
kuzidisha, hasa hii tebo mpya ya
Dar.
Darmara moja Dar,
dar mara mbili sijui nini
Dar mara tatu......
 

Acha vroba vya kbavcha wewe ndio zezeta unamtetea mfadhili wenu mzee wa vbnti vdogo nyangumi prof.mhongo kasema fsadi mengi ana vtalu vyenye hui ukubwa amejumlsha vtalu vya mengi nchi nzma wakat kaviacha kuwa pori...upo acha vroba
 
Muogo ni muongo tu kama waongo wengine.. ni wa kumpuuza tu!
 
Mengi ni wa kupuuzwa tu. Alikuwepo kwenye kongamano na alitoa mada. Kwanini hakujibu pale pale anasubiri akafiche na kurekebisha data kwanza. Mfu tu huyo hana mpya

Leo Mengi ni fisadi....ikifika kipindi cha uchaguzi mnampigia magoti awape shavu.

Akili matope. Ni lini ccm imewahi kujitenga na mafisadi na ufisadi?

Kelele nyiiiingi. Kwani hiyo land amepata kinyume na taratibu?? Wenyewe mmemuuzia kiroho safi. Sasa hivi mbakuja kumbanga nayo?@!
 

nan ampgie magot mengi si anafadhili ike saccos ya ufpa a.k.a cdm kuptia kod anazokwepa pia anaagza vroba vya bavcha
 
Mengi ni wa kupuuzwa tu. Alikuwepo kwenye kongamano na alitoa mada. Kwanini hakujibu pale pale anasubiri akafiche na kurekebisha data kwanza. Mfu tu huyo hana mpya

Mkuu Mengi hangeweza kujibu pale bila ruhusa ya mwenyekiti wa kongamano.

Muhongo alikuwa msemaji wa mwisho kabla ya kongamano kufungwa, hivyo Mengi hangeweza kupata muda wa kujibu hoja zilizoelekezwa kwake!

Hizo data unazosema Mengi alirekebisha na kuficha ni zipi?
Unadhani kubadili umiliki wa eneo la DSM tatu ahdi km mraba moja ni rahisi kiasi hicho?
 

Mengi anamiliki maeneo mengi sana kama jina lake. Ana maeneo makubwa ya copper kule mpanda, maeneo ya dhahabu huko Mabale pembezoni mwa lake Victoria na Geita, maeneo ya Tanzanite kwa kampuni yake ya Tanzanite Africa .
Kunaeneo lake kubwa sana la green garnet huko Naberera,Simanjiro. Msisubiri data mletewe ndo mhukumu. Jamaa anamaeneo kibaaaaaao kayashika na hata hayafanyii kazi kama sheria ya Madini inavyotaka.
 

Bigirita ,
Ardhi ya Madini haiuzwi, unapewa kwa muda maalum kulingana na ukubwa wa eneo. Siyo ya milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…