Mengi ndani ya kanzu na bhagharashia

kabiko

Senior Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
135
Reaction score
19
Jamani siasa si mchezo namwona mengi ndani ya kanzu mzee kajikunja huyo,, haki Tanzania ya sasa si kama ya zamani mashekhe makanisani na maaskofu ndani ya misikiti chezea siasa wewe...
 
Jamani siasa si mchezo namwona mengi ndani ya kanzu mzee kajikunja huyo,, haki Tanzania ya sasa si kama ya zamani mashekhe makanisani na maaskofu ndani ya misikiti chezea siasa wewe...
weka picha
 
Jamani siasa si mchezo namwona mengi ndani ya kanzu mzee kajikunja huyo,, haki Tanzania ya sasa si kama ya zamani mashekhe makanisani na maaskofu ndani ya misikiti chezea siasa wewe...

Kanzu ni vazi kama mavazi mengine binafsi sioni cha ajabu hata kidogo
 
Mbatia ni mmoja wa viongozi wenye akili sana siku zote utakapomsikiliza lazima utajifunza kitu, bila ya kujali itikadi ya chama chako, hongera sana mbatia this country needs smart leaders like you.
 
Ni vizuri kwa maridhiano sion haja ya kutofautisna kwani mungu akuziumba dini
 
Cc kama unaoa unapewa kanzu na bang..kama ishara ya translation from childhood to adulthood. Nami ninayo na leo nimeitinga na mm cyo mwana wa siasa. Coni tatzo
 
Kanzu + baraghashia bila ndevu kama za OBL au SS Hamadi wala haipendezi
 
Jamani siasa si mchezo namwona mengi ndani ya kanzu mzee kajikunja huyo,, haki Tanzania ya sasa si kama ya zamani mashekhe makanisani na maaskofu ndani ya misikiti chezea siasa wewe...

Mzee Mengi nae ni mwana siasa?
 
Mzee Mengi nae ni mwana siasa?

ni mfanyabiashara ambaye anacheza karata yake kwa umakini kutegemea na status quo ya siasa/wanasiasa.chezea kulekea 2015 weyeee.....za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Ila huyu mzee anazidi kutakata. Kweli gari bovu linavutwa na gari zima. Hongera shosti kwa kumtunza shemeji.
 
Kanzu + baraghashia bila ndevu kama za OBL au SS
Hamadi wala haipendezi



Mengi alisema Wislamu ndio wenye haki ya Kuchinja wanyama na akawataka Wakristo wasichinje!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…