Meneja wa bwawa la Mtera akanusha bwawa hilo kupungua maji

Hivi hawa watu huwa wanawasilina au kila mtu anaonyesha uwezo wa kutumia shoshomidia
Ni aibu kubwa sana leo hili kesho lile
 
Hata hivyo waziri hakutaja Mtera kushindwa kuzalisha umeme kwa kukosa maji,nilivyosikia mimi ni kidatu na Kihansi.
Tujaribu kujua ukweli kabla ya kutoa kauli za kutukana mtu
Meneja wa bwawa la Mtera akihojiwa na mwananchi digital amekanusha kuwa bwawa hilo lenye uwezo wa kuzalisha megawatt 80 limepungua maji hivyo kupelekea mgao wa umeme nchini.

Meneja huyo amesema bwawa hilo bado lina maji mengi kiasi kwamba hata mvua isiponyesha kwa miezi saba ijayo bado wataendelea kuzalisha umeme kama kawaida.
 
Hata hivyo waziri hakutaja Mtera kushindwa kuzalisha umeme kwa kukosa maji,nilivyosikia mimi ni kidatu na Kihansi.
Tujaribu kujua ukweli kabla ya kutoa kauli za kutukana mtu
Tumeanza kuwa mafundi wa TANESCO sasa kuwaamulia cha kufanya looh nchi hii bwana kila mtu mtaalamu.
 
Hata hivyo waziri hakutaja Mtera kushindwa kuzalisha umeme kwa kukosa maji,nilivyosikia mimi ni kidatu na Kihansi.
Tujaribu kujua ukweli kabla ya kutoa kauli za kutukana mtu

Ni kweli mkuu mvua huwa zinanyesha kwa upendeleo saa nyingine…
 
Meneja wa bwawa la Mtera akihojiwa na mwananchi digital amekanusha kuwa bwawa hilo lenye uwezo wa kuzalisha megawatt 80 limepungua maji hivyo kupelekea mgao wa umeme nchini.

Meneja huyo amesema bwawa hilo bado lina maji mengi kiasi kwamba hata mvua isiponyesha kwa miezi saba ijayo bado wataendelea kuzalisha umeme kama kawaida.
Nikiangalia hii clip, namuona waziri kasimama pembeni ya huyo meneja, nahisi kuna shinikizo fulani hivi la taarifa hiyo!
 
Back
Top Bottom