Meneja kampeni: Lowassa atashinda kwa asilimia 82

Meneja kampeni: Lowassa atashinda kwa asilimia 82

Njanga Tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
843
Reaction score
655
Meneja kampeni wa CHADEMA Bwana Mrema, amesema mpaka leo wanauhakika Lowasa atashinda kwa asilimia 82.Wanatarajia asilimia hizo kuongezeka watakapo malizia kampeni mkoani Mbeya.

Source; ITV habari
 
Lowassa Itilima kaambiwa atapata kura lakini mgombea wa Chadema hawampi kura
 
Meneja kampeni wa CHADEMA Bwana Mrema, amesema mpaka leo wanauhakika Lowasa atashinda kwa asilimia 82.Wanatarajia asilimia hizo kuongezeka watakapo malizia kampeni mkoani Mbeya.

Source; ITV habari

Huu ndio ukweli wa hakika japo ni mchungu!
By the way, Sidhani kama huu uzi utaachwa!!
 
Mkuu kushinda atashinda lakini atashindishwa huo ndio wasiwasi wangu…Si umemsikia vitisho vya mkuu wa chama cha kijani…kadiriki hata kuongeza idadi ya wapiga kura mill 6 na katukataza tusikae hata zaidi ya mita 200!!!
 
Huku nako utafiti wa Jirani yangu umeonyesha Magufuli atashinda kwa asilimia 99. .sasa hapa hesabu kichwani
 
Hata mimi naamini hivyo,siku ya kufa nyani miti yote huteleza!njama wanazozitegemea ccm zinavuja kila siku.
 
Hivi ndugu, hizo milioni 398 Si zingeweza kusaidia hata kule hospitalini maana madawa hamna na mambo ya msingi watu wanayakosa huduma za kijamii.
Hivi tujiulize hao wanaopata hapo milioni100, wengine 21 ni kutokana kwa kipi haswa walichokifanya mpana wapaye pesa zote hizo?? Haya ni matumizi mabaya ya pesa zetu sisi wananchi.. mwaka huu ni mwaka wa mabadiliko Mungu aisaidie nchi yetu.
 
Nimemuona mzee wa kukata utepe anongea na mapovu yanamtoka, yaani wanatia huruma ila kichapo kipo palepale.
 
Meneja kampeni wa CHADEMA Bwana Mrema, amesema mpaka leo wanauhakika Lowasa atashinda kwa asilimia 82.Wanatarajia asilimia hizo kuongezeka watakapo malizia kampeni mkoani Mbeya.

Source; ITV habari
Angesema asilimia 100 kabisa ili manyumbu mjipe kick za mwisho. Ila huyo fisadi hapati hata asilimia 10.
Pete yake ya kichawi inawavuta mazuzu kwenye mikutano lakini haina nguvu juu ya masanduku ya kura
 
Meneja kampeni wa CHADEMA Bwana Mrema, amesema mpaka leo wanauhakika Lowasa atashinda kwa asilimia 82.Wanatarajia asilimia hizo kuongezeka watakapo malizia kampeni mkoani Mbeya.

Source; ITV habari

Hapana bhuana, ni 90%.
 
Meneja kampeni wa CHADEMA Bwana Mrema, amesema mpaka leo wanauhakika Lowasa atashinda kwa asilimia 82.Wanatarajia asilimia hizo kuongezeka watakapo malizia kampeni mkoani Mbeya.

Source; ITV habari

kweli kabisa mkuu. huu ndio ukweli bila chenga.
 
Tulinde kura tu.
Mawakala wa chadema wawe wazalendo kweli.
 
Angesema asilimia 100 kabisa ili manyumbu mjipe kick za mwisho. Ila huyo fisadi hapati hata asilimia 10.
Pete yake ya kichawi inawavuta mazuzu kwenye mikutano lakini haina nguvu juu ya masanduku ya kura
Teh teh teh..

Pole Mkuu wangu, ndio siasa hizi, ungetulia dawa iingie tu, hakuna namna mnaweza kuepuka hiki kichapo!

Lowassa hatuna mashaka naye, ndiye Rais ajaye!
 
Back
Top Bottom