Men Talk 3: Mwanaume usizae na mchepuko

Kuna uncle wetu mmoja, alikuwa ana mke karibia kila mkoa utafikiri jogoo wa kuazima...

Sasa alipofariki ishu ikawa ndugu kuanza kusomesha watoto wa marehemu, wanandugu wengine ikawalazimu hadi kuuza mali zao ili watoto wa kaka walau wasome...
Ohooo...
 
Hujui convincing power ya mama kwa mtoto. Kama huishi nao, basi jua kwa asilimia kubwa atasikilizwa mama
Hata wewe ukiwa karibu na mwanao utakuwa na convincing power .....sema madingi tunajitenga Sana na sisi tinazani kazi yetu ni kufoka foka tu na kuchapa
 
Hata wewe ukiwa karibu na mwanao utakuwa na convincing power .....sema madingi tunajitenga Sana na sisi tinazani kazi yetu ni kufoka foka tu na kuchapa
Nature ya kazi zetu ndio inaminya muda wa kutulia chini na watoto.

Ila pia ki hasilo tu, mtoto yupo attracted sana kwa mama kuliko baba.
 
Mishe mishe unazofanya zinaruhusu kupata hela ya kula siku hiyo. Alaf bado unataka umiliki watoto kila mtaa
 
Aisee binafsi hadi mda huu nina watoto 4 ila mtoto mmoja ndio mama mwingine kusema kweli changamoto zipo na ukiwa kichwa panzi unaweza ukatelekeza damu yako hivihivi.

Halafu haya mambo sometimes mpangaji ni Sir God ndugu zangu mana unaweza kujitahidi kujichunga wee lakini wapi unakujakuta paah...! kitu kimejipa.

Hivyo kwa sisi tuliozalisha nje ya ndoa tusiogope maneno ya jamii, wanaukoo, dini wala mke tubebe jukumu la kulea watoto.

Tusikimbie watoto wetu, damu zetu, ndugu zetu tena kama unao na unajificha jitahidi kuwapeleka na kuwatambulisha kwenu kwa ndugu, jamaa, marafiki, mke wako na watoto wako.
 
Seconded! unajua kuzaa nje ya ndoa ni utovu wa nidhamu, unajidhalilisha wewe kama mwanaume kichwa cha familia. Huwa najiuliza kitu fulani, hivi hayo unayotafuta huko nje, unashindwa kumwambia mke afanye? au ndio hela ikizidi inabidi utafute wa kutumia nae.

Ni vizuri wanaume muanze kukaa kwenye nafasi zenu. Kama kuna kitu mkeo anashindwa kukufanyia ndio kinaplekea wewe kwenda nje kutafuta matatizo, kuna shida hapo.

Mawasiliano ni muhimili wa mahusiano!
 
Nature ya kazi zetu ndio inaminya muda wa kutulia chini na watoto.

Ila pia ki hasilo tu, mtoto yupo attracted sana kwa mama kuliko baba.
Ingekua rahisi ningekukaribisha kwangu uone ....wanangu wote wananikubali ...na kina huyo mdogo wa miezi asilimia kubwa kwa mama yake zinampeleka shughuli za kunyonya tu[emoji23][emoji23][emoji23] Hadi mama yake anakamind ......

Sema watu wengi wanafeli hasa sisi wanaume ...unapo kuwa na mtoto kuwa mtoto hadi na kimfanyisha utoto wenye kumkuza kwenye kumjenga kimichezo/kinidham/ nk ..

Kama wamama wafanyavyo kuimba vinyimbo vya kitoto kucheza nao michezo ya kitoto ndio maana wanakuwa connected nao sana na wakizingua wanawachapa lkn connection haifi.


Lean to copy with them pale unapo pata muda wa kuwa nao hapo ndio uyashika akili zao na kuwaongoza katika Yale upendayo wawe na ukifanikisha hili huki kutumia kiboko maana utakua unasema tu na wanakusikiliza .


Mtoto ana utoto kichwani kwake hivyo ili kwenda nae sawa nenda nae kupitia utoto wake.
 
Akili za watu walio tawaliwa na wake zao ndio hua zipo hivi[emoji23][emoji23][emoji23]

Ukisha ona Jambo linafanywa na watu wengi na jamii haidhuriki tatuta njia ya kulifanya lisiwe la kihalifu ila liwe la kujenga.kwa sasa watoto walio nje ya ndoa ni wengi mno kwa nini waendelee kuzurumiwa haki zao kwa kisingizio Cha heshima ya mke sijui jamiii..?

Wanume unatakiwa tuwe responsible na matokeo ya matendo yetu maana ndio fungu tulilo lichagua .

Okoa watoto wa nje ya ndoa sio kuwakandamiza. Wale hawana makosa
 
Kwahiyo mitoto mijinga inatoa ujinga kwa mama yao? Unakosea si ajabu maujinga yakawa yanatoka kwako mwenyewe kila unakopanda ujinga ule ule acha hizo!
 
Ninacho kiamini nikwamba hakuna mwanaume anaependa kua na watoto wa mama tofauti bila sababu za msingi. Ni changamoto tu ndizo hupelekea mwisho wa siku hilo kutokea.
Hakuna kitu kama hicho
 
kuna mzee mke wake alikuwa anazaa watoto wa kike tu akaenda nje kutafuta wa kiume
Kwahiyo hapo shida ilikuwa ni mkewe kuzaa watoto wa kike au yeye mwenyewe, na huko nje mara nyingi huwa wanapewa au kuuziwa mbuzi kwenye gunia
 
Kwann usimchukue mmoja kati ya hao unao wagegeda ukamuweka ndani kama mke?
Kwa sababu tumekubaliana kuwa hapa sie ni kigegedana tuu
Kwahiyo mitoto mijinga inatoa ujinga kwa mama yao? Unakosea si ajabu maujinga yakawa yanatoka kwako mwenyewe kila unakopanda ujinga ule ule acha hizo!
Ah sasa ili kuthibitisha kuwa ujinga ni kutoka kwangu mie sii ndio lazima nikazalishe huko nje tuone ukweli wa mambo
 
Kwa sababu tumekubaliana kuwa hapa sie ni kigegedana tuu

Ah sasa ili kuthibitisha kuwa ujinga ni kutoka kwangu mie sii ndio lazima nikazalishe huko nje tuone ukweli wa mambo
Aise [emoji23][emoji23] ili uwe nao wengi haaa haaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…