Men only (inahusu wanaume)

Men only (inahusu wanaume)

HESHIMA PESA, NDEVU HATA MBUZI ANAZO.

Sio nia yangu kuponda au kusolola mtu kumdogofisha au kufanya ajiskie mnyonge. Ila haya mambo tusipoyasikia toka kwenye vinywa vya watumishi wa Mungu haitaleta uzito.

Kuna wanaume wengi ambao sasa inabidi kusema bila kuficha kuwa wanatia aibu. Hakuna kitu kibaya duniani kama Mwanaume kukosa hela au nguvu ya kiuchumi.

Hata maandiko yanaweka wazi kuwa hekima ya maskini hudharaurika. Mwanaume kuwa na maneno mengi na mfuko tupu utaishia kukasirikia watu na kuweka vinyongo.

Wengi wanakwambia kazi hakuna, sijui ajira ngumu ila ukweli ni kwamba ni wavivu na wanachagua kazi.Unakuta mtu anamcheka muuza mkaa au muuza machungwa, anamdharau dereva wa bodaboda wakati yeye anakaa kwa shemeji hana mbele wala nyuma.

Dereva wa bodaboda anaingiza faida ya elfu hamsini kila siku 50000/= na hiyo ni kwa siku ambayo biashara haikuwa nzuri. Wako watu wanavibanda vya matunda wanaingiza mpaka laki moja T.Shs 100,000/= hakatwi TRA wala NSSF kwa siku. Wewe unaita hiyo kuwa ni kazi ya kijinga huwezi kufanya.

Umekalia kuzunguka maofisini na Bahasha ya kaki kutafuta ajira ambayo hata ukiajiriwa unalipwa Milion moja, ikikwanguliwa Makato unakuta kwa mwezi unapokea laki Saba au less.700,000/= ukipitia hesabu ya nauli kwenda na kurudi kazini, chakula na vocha unakuta mwezi mzima unafanya kazi shilingi laki moja 100,000/= ambayo mwenzako anaingiza kila siku. Usidharau kazi.

Usibweteke kama Mwanaume ukabaki kulaumu watu kuwa wamegoma kukusaidia. Mwanaume jiongeze. Kesho tu utakuwa Baba wa familia, kwani mkeo naye unategemea kaka zako watakusaidia kutunza?

Unawaza nini juu ya maisha ya kesho?Mwingine uko Chuo unalipwa Boom unanunua simu ya laki Saba na jeans, hata kusoma husomi kutwa uko Facebook, WhatsApp na Instagram unatupia picha tu.

Kesho simu halina hata vocha huwezi ku-access internet unabaki kucheza game. Wakati wenzako hilo Boom wanajinyima wanaanzisha miradi. Mpaka anamaliza Chuo tayari alishajitengenezea ajira.

Wakati wewe unahangaika na Bahasha kutafuta ajira mwenzako anaitwa Boss anaajiri. Hebu fungua fahamu zako, utakuwa tegemezi mpaka lini?Mwanaume ni chachu ya mabadiliko. Mwanaume ni kiongozi.

Najua unamaono makubwa na ndoto kubwa lakini kabla ndoto hazijatimia lazima kuwe na chakula mezani, kuwe na mavazi mwilini, na kuwe na nyumba ya kuishi (Kodi). Hayo hayatasubiri mpaka uwe Billionaire ni mahitaji ya kila siku.

Pata shughuli ya kufanya. Jiongeze. Usiwaze sijui watu watakudharau, sijui watu watakuonaje? Wakati njaa inakukong'ori utakuwa peke yako chumbani. Potezea watu, weka heshima pembeni, ingia mzigoni. Tengeneza PESA.

Namaliza na waimbaji mnaozunguka na CD makanisani mkitafuta nafasi za kuimba na mwisho mpewe "nauli" hakuna future ktk Hilo. Jipe shughuli itakayokuingizia PESA ili ufanye huduma kwa moyo na sio kwa kutazama pesa.

Ndio maana mkialikwa makanisa madogo hamuendi kwasababu mnajua hakuna hela huko. Mnaishia kununuliwa na kuendeshwa. Kipaji bila hela ni mzigo tu. Angalia Muhindi hajui kuimba wala hajui kiswahili vizuri lakini wasanii wanampigia magoti.

Pesa ni jawabu. Pambana upate pesa na ni mpango wa Mungu utajirike. Sukuma toroli la maji cha msingi unaingiza pesa. Acha upedeshee na nguo za kuazima. Loh! Mwanaume hasifiwi usafi wala uzuri wa uso, mwanaume anasifiwa uchapakazi.

Kukaa kanisani masaa 24 unaomba bila kujishughulisha hiyo ni kazi ya wajane waliovuka miaka 60, wewe toka nje pambana ulete sadaka na fungu la kumi.

KUMBUKA HESHIMA PESA, NDEVU HATA MBUZI ANAZO.Hii nayo ni habari njema. (2Wathesalonike 3:10)

Maneno makali,ila yamejaa ukweri mtupu
 
Samahani wewe mtoa mada ni mmoja wa viongozi waandamizi wa serikali iliyopo madarakani?
 
Elimu ya bongo kabla ya kuwaongezea ujasiri na kutokuwa na aibu kwenye kutafuta hela badala yake inageuza mchapakazi kuwa mvivu, bishoo, na kuwa selective wa kufanya baadhi ya kazi.Mi nimekuelewa mtoa mada huu ujumbe uanzie na kwako

Elimu ni elimu mkuu
Uthubutu na kufanya maamuzi ndo watanzania wengi hatuna.
Hatuna ile ari ya kusota na kukomalia kitu hadi kitutoe.
Tuna uvivu wa kufikiri, tunawaza kitu kimoja.
Ndo maana tunazidi kuwa average kila siku.
 
Mleta mada hongera kwa ujumbe murua.
Kazi kwao vijana wa smartphone era.
 
nimesoma yote...iko poa sana,ujumbe mzuri kabisa..
 
itabid kushare manake hamna namna sasa.
 
Umeandika ukweli mtupu na anaye pinga apinge tu lakini ulicho kiandika kipo kinaishi.
 
Duh! umeongea ukweli mtupu, nilijua ntakutana na stori za kitandani kumbe chakula ya bongo, asante kwa darsa nimekuelewa vema mkuu japo nimejikuta niko nyuma nusu hatua lakini aluta continua, ila inachoma!

wanaume tumeumbwa mateso - TX
 
HESHIMA PESA, NDEVU HATA MBUZI ANAZO.

Sio nia yangu kuponda au kusolola mtu kumdogofisha au kufanya ajiskie mnyonge. Ila haya mambo tusipoyasikia toka kwenye vinywa vya watumishi wa Mungu haitaleta uzito.

Kuna wanaume wengi ambao sasa inabidi kusema bila kuficha kuwa wanatia aibu. Hakuna kitu kibaya duniani kama Mwanaume kukosa hela au nguvu ya kiuchumi.

Hata maandiko yanaweka wazi kuwa hekima ya maskini hudharaurika. Mwanaume kuwa na maneno mengi na mfuko tupu utaishia kukasirikia watu na kuweka vinyongo.

Wengi wanakwambia kazi hakuna, sijui ajira ngumu ila ukweli ni kwamba ni wavivu na wanachagua kazi.Unakuta mtu anamcheka muuza mkaa au muuza machungwa, anamdharau dereva wa bodaboda wakati yeye anakaa kwa shemeji hana mbele wala nyuma.

Dereva wa bodaboda anaingiza faida ya elfu hamsini kila siku 50000/= na hiyo ni kwa siku ambayo biashara haikuwa nzuri. Wako watu wanavibanda vya matunda wanaingiza mpaka laki moja T.Shs 100,000/= hakatwi TRA wala NSSF kwa siku. Wewe unaita hiyo kuwa ni kazi ya kijinga huwezi kufanya.

Umekalia kuzunguka maofisini na Bahasha ya kaki kutafuta ajira ambayo hata ukiajiriwa unalipwa Milion moja, ikikwanguliwa Makato unakuta kwa mwezi unapokea laki Saba au less.700,000/= ukipitia hesabu ya nauli kwenda na kurudi kazini, chakula na vocha unakuta mwezi mzima unafanya kazi shilingi laki moja 100,000/= ambayo mwenzako anaingiza kila siku. Usidharau kazi.

Usibweteke kama Mwanaume ukabaki kulaumu watu kuwa wamegoma kukusaidia. Mwanaume jiongeze. Kesho tu utakuwa Baba wa familia, kwani mkeo naye unategemea kaka zako watakusaidia kutunza?

Unawaza nini juu ya maisha ya kesho?Mwingine uko Chuo unalipwa Boom unanunua simu ya laki Saba na jeans, hata kusoma husomi kutwa uko Facebook, WhatsApp na Instagram unatupia picha tu.

Kesho simu halina hata vocha huwezi ku-access internet unabaki kucheza game. Wakati wenzako hilo Boom wanajinyima wanaanzisha miradi. Mpaka anamaliza Chuo tayari alishajitengenezea ajira.

Wakati wewe unahangaika na Bahasha kutafuta ajira mwenzako anaitwa Boss anaajiri. Hebu fungua fahamu zako, utakuwa tegemezi mpaka lini?Mwanaume ni chachu ya mabadiliko. Mwanaume ni kiongozi.

Najua unamaono makubwa na ndoto kubwa lakini kabla ndoto hazijatimia lazima kuwe na chakula mezani, kuwe na mavazi mwilini, na kuwe na nyumba ya kuishi (Kodi). Hayo hayatasubiri mpaka uwe Billionaire ni mahitaji ya kila siku.

Pata shughuli ya kufanya. Jiongeze. Usiwaze sijui watu watakudharau, sijui watu watakuonaje? Wakati njaa inakukong'ori utakuwa peke yako chumbani. Potezea watu, weka heshima pembeni, ingia mzigoni. Tengeneza PESA.

Namaliza na waimbaji mnaozunguka na CD makanisani mkitafuta nafasi za kuimba na mwisho mpewe "nauli" hakuna future ktk Hilo. Jipe shughuli itakayokuingizia PESA ili ufanye huduma kwa moyo na sio kwa kutazama pesa.

Ndio maana mkialikwa makanisa madogo hamuendi kwasababu mnajua hakuna hela huko. Mnaishia kununuliwa na kuendeshwa. Kipaji bila hela ni mzigo tu. Angalia Muhindi hajui kuimba wala hajui kiswahili vizuri lakini wasanii wanampigia magoti.

Pesa ni jawabu. Pambana upate pesa na ni mpango wa Mungu utajirike. Sukuma toroli la maji cha msingi unaingiza pesa. Acha upedeshee na nguo za kuazima. Loh! Mwanaume hasifiwi usafi wala uzuri wa uso, mwanaume anasifiwa uchapakazi.

Kukaa kanisani masaa 24 unaomba bila kujishughulisha hiyo ni kazi ya wajane waliovuka miaka 60, wewe toka nje pambana ulete sadaka na fungu la kumi.

KUMBUKA HESHIMA PESA, NDEVU HATA MBUZI ANAZO.Hii nayo ni habari njema. (2Wathesalonike 3:10)
Nilijizuia kuisoma hii mada kwakuwa mi ni mwanamke lakini curiosity ikanishinda. Mada nzuri
 
Mkuu umepigilia msumari kwenye kidonda...
hongera kwa uzi mzuri na wenye kujenga.
 
Yap uko sahih mkuu guys we have to wark up and fight life is too hard lakn pole pole tutafika lakin tukumbuke pia Mungu yupo na pale inapohitajika msaada tutoe kwa moyo mmoja hyo ni moja ya ya njia nzuri sana ya kupata Baraka toka kwa muumba wa mbingu na nchi
 
HESHIMA PESA, NDEVU HATA MBUZI ANAZO.

Sio nia yangu kuponda au kusolola mtu kumdogofisha au kufanya ajiskie mnyonge. Ila haya mambo tusipoyasikia toka kwenye vinywa vya watumishi wa Mungu haitaleta uzito.

Kuna wanaume wengi ambao sasa inabidi kusema bila kuficha kuwa wanatia aibu. Hakuna kitu kibaya duniani kama Mwanaume kukosa hela au nguvu ya kiuchumi.

Hata maandiko yanaweka wazi kuwa hekima ya maskini hudharaurika. Mwanaume kuwa na maneno mengi na mfuko tupu utaishia kukasirikia watu na kuweka vinyongo.

Wengi wanakwambia kazi hakuna, sijui ajira ngumu ila ukweli ni kwamba ni wavivu na wanachagua kazi.Unakuta mtu anamcheka muuza mkaa au muuza machungwa, anamdharau dereva wa bodaboda wakati yeye anakaa kwa shemeji hana mbele wala nyuma.

Dereva wa bodaboda anaingiza faida ya elfu hamsini kila siku 50000/= na hiyo ni kwa siku ambayo biashara haikuwa nzuri. Wako watu wanavibanda vya matunda wanaingiza mpaka laki moja T.Shs 100,000/= hakatwi TRA wala NSSF kwa siku. Wewe unaita hiyo kuwa ni kazi ya kijinga huwezi kufanya.

Umekalia kuzunguka maofisini na Bahasha ya kaki kutafuta ajira ambayo hata ukiajiriwa unalipwa Milion moja, ikikwanguliwa Makato unakuta kwa mwezi unapokea laki Saba au less.700,000/= ukipitia hesabu ya nauli kwenda na kurudi kazini, chakula na vocha unakuta mwezi mzima unafanya kazi shilingi laki moja 100,000/= ambayo mwenzako anaingiza kila siku. Usidharau kazi.

Usibweteke kama Mwanaume ukabaki kulaumu watu kuwa wamegoma kukusaidia. Mwanaume jiongeze. Kesho tu utakuwa Baba wa familia, kwani mkeo naye unategemea kaka zako watakusaidia kutunza?

Unawaza nini juu ya maisha ya kesho?Mwingine uko Chuo unalipwa Boom unanunua simu ya laki Saba na jeans, hata kusoma husomi kutwa uko Facebook, WhatsApp na Instagram unatupia picha tu.

Kesho simu halina hata vocha huwezi ku-access internet unabaki kucheza game. Wakati wenzako hilo Boom wanajinyima wanaanzisha miradi. Mpaka anamaliza Chuo tayari alishajitengenezea ajira.

Wakati wewe unahangaika na Bahasha kutafuta ajira mwenzako anaitwa Boss anaajiri. Hebu fungua fahamu zako, utakuwa tegemezi mpaka lini?Mwanaume ni chachu ya mabadiliko. Mwanaume ni kiongozi.

Najua unamaono makubwa na ndoto kubwa lakini kabla ndoto hazijatimia lazima kuwe na chakula mezani, kuwe na mavazi mwilini, na kuwe na nyumba ya kuishi (Kodi). Hayo hayatasubiri mpaka uwe Billionaire ni mahitaji ya kila siku.

Pata shughuli ya kufanya. Jiongeze. Usiwaze sijui watu watakudharau, sijui watu watakuonaje? Wakati njaa inakukong'ori utakuwa peke yako chumbani. Potezea watu, weka heshima pembeni, ingia mzigoni. Tengeneza PESA.

Namaliza na waimbaji mnaozunguka na CD makanisani mkitafuta nafasi za kuimba na mwisho mpewe "nauli" hakuna future ktk Hilo. Jipe shughuli itakayokuingizia PESA ili ufanye huduma kwa moyo na sio kwa kutazama pesa.

Ndio maana mkialikwa makanisa madogo hamuendi kwasababu mnajua hakuna hela huko. Mnaishia kununuliwa na kuendeshwa. Kipaji bila hela ni mzigo tu. Angalia Muhindi hajui kuimba wala hajui kiswahili vizuri lakini wasanii wanampigia magoti.

Pesa ni jawabu. Pambana upate pesa na ni mpango wa Mungu utajirike. Sukuma toroli la maji cha msingi unaingiza pesa. Acha upedeshee na nguo za kuazima. Loh! Mwanaume hasifiwi usafi wala uzuri wa uso, mwanaume anasifiwa uchapakazi.

Kukaa kanisani masaa 24 unaomba bila kujishughulisha hiyo ni kazi ya wajane waliovuka miaka 60, wewe toka nje pambana ulete sadaka na fungu la kumi.

KUMBUKA HESHIMA PESA, NDEVU HATA MBUZI ANAZO.Hii nayo ni habari njema. (2Wathesalonike 3:10)

Dozi hii nzito
 
HESHIMA PESA, NDEVU HATA MBUZI ANAZO.

Sio nia yangu kuponda au kusolola mtu kumdogofisha au kufanya ajiskie mnyonge. Ila haya mambo tusipoyasikia toka kwenye vinywa vya watumishi wa Mungu haitaleta uzito.

Kuna wanaume wengi ambao sasa inabidi kusema bila kuficha kuwa wanatia aibu. Hakuna kitu kibaya duniani kama Mwanaume kukosa hela au nguvu ya kiuchumi.

Hata maandiko yanaweka wazi kuwa hekima ya maskini hudharaurika. Mwanaume kuwa na maneno mengi na mfuko tupu utaishia kukasirikia watu na kuweka vinyongo.

Wengi wanakwambia kazi hakuna, sijui ajira ngumu ila ukweli ni kwamba ni wavivu na wanachagua kazi.Unakuta mtu anamcheka muuza mkaa au muuza machungwa, anamdharau dereva wa bodaboda wakati yeye anakaa kwa shemeji hana mbele wala nyuma.

Dereva wa bodaboda anaingiza faida ya elfu hamsini kila siku 50000/= na hiyo ni kwa siku ambayo biashara haikuwa nzuri. Wako watu wanavibanda vya matunda wanaingiza mpaka laki moja T.Shs 100,000/= hakatwi TRA wala NSSF kwa siku. Wewe unaita hiyo kuwa ni kazi ya kijinga huwezi kufanya.

Umekalia kuzunguka maofisini na Bahasha ya kaki kutafuta ajira ambayo hata ukiajiriwa unalipwa Milion moja, ikikwanguliwa Makato unakuta kwa mwezi unapokea laki Saba au less.700,000/= ukipitia hesabu ya nauli kwenda na kurudi kazini, chakula na vocha unakuta mwezi mzima unafanya kazi shilingi laki moja 100,000/= ambayo mwenzako anaingiza kila siku. Usidharau kazi.

Usibweteke kama Mwanaume ukabaki kulaumu watu kuwa wamegoma kukusaidia. Mwanaume jiongeze. Kesho tu utakuwa Baba wa familia, kwani mkeo naye unategemea kaka zako watakusaidia kutunza?

Unawaza nini juu ya maisha ya kesho?Mwingine uko Chuo unalipwa Boom unanunua simu ya laki Saba na jeans, hata kusoma husomi kutwa uko Facebook, WhatsApp na Instagram unatupia picha tu.

Kesho simu halina hata vocha huwezi ku-access internet unabaki kucheza game. Wakati wenzako hilo Boom wanajinyima wanaanzisha miradi. Mpaka anamaliza Chuo tayari alishajitengenezea ajira.

Wakati wewe unahangaika na Bahasha kutafuta ajira mwenzako anaitwa Boss anaajiri. Hebu fungua fahamu zako, utakuwa tegemezi mpaka lini?Mwanaume ni chachu ya mabadiliko. Mwanaume ni kiongozi.

Najua unamaono makubwa na ndoto kubwa lakini kabla ndoto hazijatimia lazima kuwe na chakula mezani, kuwe na mavazi mwilini, na kuwe na nyumba ya kuishi (Kodi). Hayo hayatasubiri mpaka uwe Billionaire ni mahitaji ya kila siku.

Pata shughuli ya kufanya. Jiongeze. Usiwaze sijui watu watakudharau, sijui watu watakuonaje? Wakati njaa inakukong'ori utakuwa peke yako chumbani. Potezea watu, weka heshima pembeni, ingia mzigoni. Tengeneza PESA.

Namaliza na waimbaji mnaozunguka na CD makanisani mkitafuta nafasi za kuimba na mwisho mpewe "nauli" hakuna future ktk Hilo. Jipe shughuli itakayokuingizia PESA ili ufanye huduma kwa moyo na sio kwa kutazama pesa.

Ndio maana mkialikwa makanisa madogo hamuendi kwasababu mnajua hakuna hela huko. Mnaishia kununuliwa na kuendeshwa. Kipaji bila hela ni mzigo tu. Angalia Muhindi hajui kuimba wala hajui kiswahili vizuri lakini wasanii wanampigia magoti.

Pesa ni jawabu. Pambana upate pesa na ni mpango wa Mungu utajirike. Sukuma toroli la maji cha msingi unaingiza pesa. Acha upedeshee na nguo za kuazima. Loh! Mwanaume hasifiwi usafi wala uzuri wa uso, mwanaume anasifiwa uchapakazi.

Kukaa kanisani masaa 24 unaomba bila kujishughulisha hiyo ni kazi ya wajane waliovuka miaka 60, wewe toka nje pambana ulete sadaka na fungu la kumi.

KUMBUKA HESHIMA PESA, NDEVU HATA MBUZI ANAZO.Hii nayo ni habari njema. (2Wathesalonike 3:10)

word,
its just y`day bro angu mmoja alikua anajisifia yeye kidume cha nyumba, ana mtoto ambaye kamzalisha mwanamke yupo nae home, but kazi hatak fanya/or cause hajapata, bali ubraza meno mtaani, ukimpa hela ajisaport, anachezea coz alikuwaga driver akasema driving licence imepeotea ku-renew hadi leo 2yrs na alishapewa hela. jaman mimi ni mdogo wake but nishamweleza but habadiliki, i wish angeona hii post.maybe angebadilika jaman. he prays alot but Mungu hatusaidii kama hatuhangaiki wenyewe pia. Mungu amsaidie.
 
Back
Top Bottom