miss chagga big up sana kwa huu uzi. Umenisaidia kufahamu kwamba watu wanaishi na wapenzi wao kwa kuogopana na kuoneana aibu.
Na ndio maana michepuko inaendelea shika kasi.
Yale ambayo wanaona aibu yafanya na wake zao wanayakuta huko nje wakichepuka na mwishoe huishia ita wake au wame zao washamba kumbe ni ujinga wao wenyewe.