Men lets be fair kwa kweli

Men lets be fair kwa kweli

miss chagga

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
57,805
Reaction score
49,104
Habari zenu za asubuhi wapendwa wangu.
Katika kutafakari sana nimejikuta nawaza haya

Kuna baadhi ya mambo unakutana nayo katika mahusiano, hasa pale yanapokuwa moto moto kuna vitu huwa tunafanya kujitoa akili kwa kuwa moyo umezama au kumshawishi mwenzio ili aone upo pamoja naye, ila katika kufanya hayo mambo wakati mapenzi yanaelekea sa kumi jion yani mahaba ni mtafutano unakuta yale mambo yanaonekana kama ni fimbo ya kutuchapia hasa kwa upande wa wanawake.

Ila leo nitazungumzia zaidi kwenye kutumiana picha za utupu kwa wapenzi .

Katika kipengele hiki wanaume ni wepesi sana kutuma madushe yao hata kukuonyesha live madushe yao, sasa mwanaume anapojiachia kutuma dushe.

llake basi hapo unakuta na mwanamke kwa kuwa kapenda anaamua kutuma papuchi yake, nyonyo yake kwa ampendaye .... kinachonifanya nione kuwa hatupo fair hasa upande wa me ni pale wawili hawa watakogombana mwanaume anaamua kutumia zile picha kusamabaza na hata kumwona malaya hafai na a lot of bla bla.

Mimi nimekuja na suluhuu ya hili mwanume akikuomba picha ya papauchi mwambie atume picha ya kalio lake in details, akiomba picha ya nyonyo mwambie atume na yeye dushe, nasema hivi ili mwisho wa siku tuheshimiane jamani wanaume wepesi sana kutuma madushe yao ni kama kawaida.

Mkigombana MWANAUME AKISAMBAZA NA MWANAMKE UNASAMBAZA PICHA ZAKE .Hapo mambo yanakuwa ngoma drooo.

Samahani kama nitakuwa nimekosea ila naonea huruma sana wanawake na vibinti wanaodhalilishwa kwa sababu ya penzi.

Nawapenda wote siku njema.
 
ale DUSHElele DUSHEleDUSHEle DUSHElele oooh, ale DUSHElele DUSHEleDUSHEle DUSHElele waeko oohhhh....

naimba tu...
 
Umeongea point sana bidada. Mimi nimekuja kugundua picha nyingi za utupu zinazozagaa kwenye mitandao ni kutona na ugomvi katika mapenzi. Si dhani kama hii ni busara kwa kweli.

Wadada ukiona mwanaume kakufanyia hivo kamshitaki kwa kosa la udhalilishaji mbona sheria saizi zipo wazi.
 
Umeongea point sana bidada. Mimi nimekuja kugundua picha nyingi za utupu zinazozagaa kwenye mitandao ni kutona na ugomvi katika mapenzi. Si dhani kama hii ni busara kwa kweli.

Wadada ukiona mwanaume kakufanyia hivo kamshitaki kwa kosa la udhalilishaji mbona sheria saizi zipo wazi.

sheria ni mlolongo mrefu akiomba papuchi .. inabidi atume picha ya kalio lake tena vizuri
 
Na wanawake wasikubali kutuma picha za utupu cz hizo picha zikisambaa mtandaoni utamlaumu nan na wakat ulipiga na kutuma kwa hiari yako,kuna kipind nilikuwag na rafiki ambay hakuwa boyfrnd wang wala nn alikuw akininganganiza sn nimtumie picha za utupu nikamwambia tuma kwanz zako akakataa baadae akatuma mimi nikakataa kumtumia tangu hapo alikasirika sana na kuninunia ,lakini wasichana tuwe makini la sivyo tutaendelea kudhalilishwa kila siku
 
Na wanawake wasikubali kutuma picha za utupu cz hizo picha zikisambaa mtandaoni utamlaumu nan na wakat ulipiga na kutuma kwa hiari yako,kuna kipind nilikuwag na rafiki ambay hakuwa boyfrnd wang wala nn alikuw akininganganiza sn nimtumie picha za utupu nikamwambia tuma kwanz zako akakataa baadae akatuma mimi nikakataa kumtumia tangu hapo alikasirika sana na kuninunia ,lakini wasichana tuwe makini la sivyo tutaendelea kudhalilishwa kila siku
mwanume mwepesi sana kutuma dushe lake hasa kama anamashine inayotosha ...... kuna wengine wanalilia kabisa unatuma na yeye atume kalio
 
Umeongea point sana bidada. Mimi nimekuja kugundua picha nyingi za utupu zinazozagaa kwenye mitandao ni kutona na ugomvi katika mapenzi. Si dhani kama hii ni busara kwa kweli.

Wadada ukiona mwanaume kakufanyia hivo kamshitaki kwa kosa la udhalilishaji mbona sheria saizi zipo wazi.
kwanza kwa nini unamtumia utupu kwenye simu, kama ni mpenzi wako akiutaka si unampelekea live? mambo mengine ni kujitakiaa na wala sio uzalilishaji
 
Hahahahah yaani katika vitu ambavyo sivipendi na nimeapa kutovifanya ni kumtumia mtu picha yaviungo vyangu never ever sitafanya hicho kitu labda anivizie nikiwa melala uchi aniphotoe lakini sio kwamikono yangu kufanya ivyo............kwanza kama wampenda mtu na nimpenzi wako kwanini usiwe mpole kama papuchi haiishi kusema ni sabuni itatumika itaisha wewe kama uko mbali tulia tu utaikuta lakini sio nikutumie picha ya papuchi yangu na manyoyo never!!
 
miss chagga hahaaaa...nani kakuudi leo? Haya tema mate tumchaaape.

ha ha ha amna ila iliniumiza tu kuona vipicha whats app vibint vidogo wanalia lia picha zao viboyfriend vyao wanasamabaza ni huruma ... hawakufanya kwa nia mbaya ila ndiyo baadae inageuka kuwa fimbo ni huzuni
 
Back
Top Bottom