miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Habari zenu za asubuhi wapendwa wangu.
Katika kutafakari sana nimejikuta nawaza haya
Kuna baadhi ya mambo unakutana nayo katika mahusiano, hasa pale yanapokuwa moto moto kuna vitu huwa tunafanya kujitoa akili kwa kuwa moyo umezama au kumshawishi mwenzio ili aone upo pamoja naye, ila katika kufanya hayo mambo wakati mapenzi yanaelekea sa kumi jion yani mahaba ni mtafutano unakuta yale mambo yanaonekana kama ni fimbo ya kutuchapia hasa kwa upande wa wanawake.
Ila leo nitazungumzia zaidi kwenye kutumiana picha za utupu kwa wapenzi .
Katika kipengele hiki wanaume ni wepesi sana kutuma madushe yao hata kukuonyesha live madushe yao, sasa mwanaume anapojiachia kutuma dushe.
llake basi hapo unakuta na mwanamke kwa kuwa kapenda anaamua kutuma papuchi yake, nyonyo yake kwa ampendaye .... kinachonifanya nione kuwa hatupo fair hasa upande wa me ni pale wawili hawa watakogombana mwanaume anaamua kutumia zile picha kusamabaza na hata kumwona malaya hafai na a lot of bla bla.
Mimi nimekuja na suluhuu ya hili mwanume akikuomba picha ya papauchi mwambie atume picha ya kalio lake in details, akiomba picha ya nyonyo mwambie atume na yeye dushe, nasema hivi ili mwisho wa siku tuheshimiane jamani wanaume wepesi sana kutuma madushe yao ni kama kawaida.
Mkigombana MWANAUME AKISAMBAZA NA MWANAMKE UNASAMBAZA PICHA ZAKE .Hapo mambo yanakuwa ngoma drooo.
Samahani kama nitakuwa nimekosea ila naonea huruma sana wanawake na vibinti wanaodhalilishwa kwa sababu ya penzi.
Nawapenda wote siku njema.
Katika kutafakari sana nimejikuta nawaza haya
Kuna baadhi ya mambo unakutana nayo katika mahusiano, hasa pale yanapokuwa moto moto kuna vitu huwa tunafanya kujitoa akili kwa kuwa moyo umezama au kumshawishi mwenzio ili aone upo pamoja naye, ila katika kufanya hayo mambo wakati mapenzi yanaelekea sa kumi jion yani mahaba ni mtafutano unakuta yale mambo yanaonekana kama ni fimbo ya kutuchapia hasa kwa upande wa wanawake.
Ila leo nitazungumzia zaidi kwenye kutumiana picha za utupu kwa wapenzi .
Katika kipengele hiki wanaume ni wepesi sana kutuma madushe yao hata kukuonyesha live madushe yao, sasa mwanaume anapojiachia kutuma dushe.
llake basi hapo unakuta na mwanamke kwa kuwa kapenda anaamua kutuma papuchi yake, nyonyo yake kwa ampendaye .... kinachonifanya nione kuwa hatupo fair hasa upande wa me ni pale wawili hawa watakogombana mwanaume anaamua kutumia zile picha kusamabaza na hata kumwona malaya hafai na a lot of bla bla.
Mimi nimekuja na suluhuu ya hili mwanume akikuomba picha ya papauchi mwambie atume picha ya kalio lake in details, akiomba picha ya nyonyo mwambie atume na yeye dushe, nasema hivi ili mwisho wa siku tuheshimiane jamani wanaume wepesi sana kutuma madushe yao ni kama kawaida.
Mkigombana MWANAUME AKISAMBAZA NA MWANAMKE UNASAMBAZA PICHA ZAKE .Hapo mambo yanakuwa ngoma drooo.
Samahani kama nitakuwa nimekosea ila naonea huruma sana wanawake na vibinti wanaodhalilishwa kwa sababu ya penzi.
Nawapenda wote siku njema.