thefreedot
Senior Member
- May 21, 2015
- 135
- 25
- Thread starter
- #21
Nadhani utakuwa hukuwa unafanya backup ya external storage au hiyo memory card ndo maanaNamimi nna tatizo kama hilo hilo cjajua kwannn inakua hivo
Nadhani utakuwa hukuwa unafanya backup ya external storage au hiyo memory card ndo maanaNamimi nna tatizo kama hilo hilo cjajua kwannn inakua hivo
Kwasasa sinaNahitaji hard disk 1tb
Itakuwa issue mpya sana hii kama ni kweli mhh...ila wakati mwingine watu wana edit picture tu...kwenye namba hapo...afu ebay wapigaji wengi...be careful
Si mchezo watatuua kwakweli inakuwa ngumu kufuatilia kila kukicha unajua...duh...[emoji28]
Wewe una maana MB na siyo GB256 GB unayo?
Pole kama hata ya 128GB iliyokuja na samsung galaxy s5 hukuionaBasi agiza eBay mkuu. Nipo sana kwenye hivi vitu na sijawahi kuona 256GB
Mkuu, tumeuliza kama anazo au kama ataweza kuzipata, ila yeye akakataa kwamba hakuna 256GB, Ndo ikabidi nimuhakikishie kwamba zipo ili kama anaweza atuletee sisi tununue, sasa sijui ujuaji ulioletwa hapo ni kumjulisha mkuu kama zipo baada ya yeye kukataa au? Maana za 128GB zipo sana tu hapa bongo ila mimi nataka ya 256GB, Na hapa nipo kwenye process za kuagizaMtu anauza memory card kaziweka ambazo anazo lakini wabongo kutaka kuleta ujuaji kama unajua wapi inapopatikana si uagize huko sasa....