Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,470
- 5,050
Mother Confessor pande za wapi? Nipe hali ya hewa pande hizo, mvua inanyesha uko?😂😂😂hee ugwiji wote huo hujuiiii
Mother Confessor pande za wapi? Nipe hali ya hewa pande hizo, mvua inanyesha uko?😂😂😂hee ugwiji wote huo hujuiiii
Watu wamepata wachumba humu na wameoa na wengine wameolewa mkuu hamna kitu inashindikana hizi ni zama Smart phone mwendo wa 4G sio zile telegram na barua iliyochorwa makopakopaYaani unakuwa umemjua humu humu jf kwenye posts unamfuata pm unamuuliza maswali na anayajibu yote vizuri halafu unamtongoza kisha unamuomba muonane naye anakubali au iko tofauti na hivyo ninavyowaza mimi?
kwa kweli aiseWatu wamepata wachumba humu na wameoa na wengine wameolewa mkuu hamna kitu inashindikana hizi ni zama Smart phone mwendo wa 4G sio zile telegram na barua iliyochorwa makopakopa
Hamchukui mda atakuelewaMkuu huwezi kurupuka tu hovyo hovyo kama umekunywa ulanzi ndotoni.... Ni lazima utengeneze psychology ya muhusika mkuu...
🤣🤣🤣🤣Hahaahah kwakweli wanatuchosha... Mtu unakuta kaujumbe pale ukifungua kameandikwa "za kushinda " ukijibu basi jioni njema..... Mpaka nimesusa kujibu wabadilike
Niliwahi kua domozegeWewe umejuaje? Japo umesema ukweli
Bathi namm aliaaaaa😭😭😭😭😭Thi unanionea
Nitakusemea.
Uthilie njoo nikubembeleze na jojo ulaleBathi namm aliaaaaa
Hivi inawezekana pia watu wakawa wanadate humu jf ikiwa hawajawahi kuonana kabisa wala hawajuani hata sura? Acha wale ambao wanaonana na kujuana kwanza ndo wanaaza kudateHamchukui mda atakuelewa
Jojo kubwaa😲??Uthilie njoo nikubembeleze na jojo ulale
Aa aa thio kubwa thana ila ndefu tuJojo kubwaa??
🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Aa aa thio kubwa thana ila ndefu tu
Nakuthubiri mama
Thijiii😛Nakuthubiri mama
Nipe nafasi Dada angu; ni stili mtoto wa mwanamke mwenzio.Wewe umejuaje? Japo umesema ukweli
Thatha kwanini au umenyamadhaThijiii
Ndioooooo menyamazaThatha kwanini au umenyamadha