Members wengi humu ni madomo zege

Nadhani nimefika Muda muafaka hahahahahhahahshshshah..........
Wabadilike... Kule chumbani tabia za kuja kusalimia kila kipindi utadhani wapo kwenye ibada sio tabia nzuri.... Waleleze shida zao kama hazitatuliki waambiwe wakatafute solution mitaa mingine hukooooo
Naomba muongozo wako rasmi ndugu mwenyekiti,.tafadhali...😂😂😂
 
Nitajikumbusha kwanza kabisa kwa Muuza Nyama, anipimie Nyama na kunifungia kwenye Gazeti...

Daaah....!! zama zimejirudia...
Kuanzia tarehe 1 Juni, itakuwa ni makosa kisheria kutumia mifuko ya plastiki.Muda hautaongezwa. Achana na mifuko hiyo leo. Kassim Majaliwa (Mb) Waziri Mkuu.
 
Nitajikumbusha kwanza kabisa kwa Muuza Nyama, anipimie Nyama na kunifungia kwenye Gazeti...

Daaah....!! zama zimejirudia...
Haha haha enzi hizo mifuko ya cement ya makaratasi ndio tunafungiwa bidhaa yakiloa tu mzigo wote chali
 
Bado una element za zege mdomoni sound zote hizo unashindwa kuimbisha mpaka anakuelewa
mademu hawataki mitongozo siku hz wanataka hela ukisham dm demu siku pili jiandae kutuma nauli,simu mpya,mara naumwa,kodi imeisha maish bila pesa siku hizi hayaendi
 
Back
Top Bottom